Mdomo umejaa maji 🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
aaaaah!! kama mwafulani eti!??
Mimi hadi nikiingia tu nakuta wameshaniwekea mwana tayari....
Heheheeer
Miss yah mpka mafua
hahaaa!! hayo mafua yatakuwa kwaajili ya vumbi la kucheza mwana tu
Aaah wapi wewe,mwenzio nimetoka kufanya zoezi la kuvunjika miguu hapa nilipo najipoza na maji baridi maana hili ni balaa sasa.
Kiba atatuua jamani!
Wote nitawaogesha mm
hahaaaaa!!! yamekuwa haya tena!!
mie cku ya kwanza video kutoka kidogo le project livurugike, maana najificha ndani ya shuka naingia utube kuchungulia mwana, kesho yake zoezi la kuserebuka likaanza, yaani nilipoanza kulicheza ungeniona ungecheka km kichaaa
Dah!Umenikumbusha mbali sana...
Hili pambio (sijui nimepatia!!) hua sipendi kulisikia kabisa.
Nimecheka sana jamani!!RIP mtt wa jirani,tulikuzoea!
Ha ha ha!jamaaan...nmechekaje sasa,Ally nusura akuharibie projekiti!uwiIila utaahira ukakuzoea zaidi, sio kosa letu, ni kazi ya mwana,(hahaaaaa)
Mwafulan kanizid 🙈🙈🙈mi nikikuona maji yanatoka yy ayatoki
+ kukumic
We autaki nikuogeshe baada ya kulicheza mwana ?
Ha ha ha!jamaaan...nmechekaje sasa,Ally nusura akuharibie projekiti!uwiI