Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ukitaka ujue kwamba mziki ni universal chekini jisongi hili la fally ipupa- linaitwa sweet life( la vie est belle)aiseee niliusikia kahama stand nikashawishika kuutafuta na hatimaye kuudownload aisee ally kiba kwa experience ya nyuma amejitahidi sana lakini atleast angewapa fans wake wengi kile walichokua wanakihitaji kwenye hiyo nyimbo ya fally jamaa anakula bata kuanzia jumatatu mpaka jumapili aiseeee ni tatizo
 
Naona kule kwa wenzetu upande wa pili wamelala ziiiiiiiiiii kimyaaaa uzi wao umedoda ila huku kwa kiba usiku km mchana vileeee
 

Kwahyo kiba kaimba umo
 
video itafikisha views laki moja kabla ya jogoo kuwika.


kama kila mtu angetoa buku kununua hiyo video ,kiba angepata milioni mia .
 
video itafikisha views laki moja kabla ya jogoo kuwika.


kama kila mtu angetoa buku kununua hiyo video ,kiba angepata milioni mia .

Nina kama Massa mawili sasa sijaenda huko.
Ila siwezi kulala bila kuchungulia YouTube aisee...
Pop it in
 
yaani hii familia balaa tupu, mnafurahishaaaa hadi mnakera bwana, aaagggrrrh!!

Balaa tupu,jana nilikua kama nina malaria uzi ulivyofungwa....
Kama sio ile video ya Kiba kuwepo basi ningetundikiwa dripu kabisaaaa
Love you guys πŸ˜›πŸ˜›
 
Balaa tupu,jana nilikua kama nina malaria uzi ulivyofungwa....
Kama sio ile video ya Kiba kuwepo basi ningetundikiwa dripu kabisaaaa
Love you guys πŸ˜›πŸ˜›

yaani nilipoona kufuli nikadata hata nikasahau kazi ya kufuli, nikaingiwa baridiiii wakati kuna joto balaaa, hii familia ukiimiss unaweza umwa kabisa yaani, love mingimingi
 
Nina kama Massa mawili sasa sijaenda huko.
Ila siwezi kulala bila kuchungulia YouTube aisee...
Pop it in

mie kuna rafiki yangu nlikuwa nimekaa naye hadi akaniuliza unaangalia nn mbona umekazana na cmu hivyo? nikamwambia naangalia mwana video acha aruke aah ishatoka!?? akaingia utube fasta basi tukawa story ni mwana na kiba tu na hata ckujua km nae anamzimia kiba hivyo, kiba anapendwa jamani, hapa nimekaa mahali unapigwa mapenzi yanarun dunia, yaani utadhani ni wimbo mpya, sio cri nyimbo za kiba ni balaa km ebola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…