Hapa hakuna jipya....imegeuka chichat mods fungeni tu huu uzi umepoteza maana. imekuwa sehemu ya kutakiana habari za asubuhi mara merry Xmas jamaa yenu hana jipya ni disappointment.
Inakuuma sana??Utakufa kwa kijiba cha roho Mwanamme!!Unayemtafuta kamfate ghetto mmalizane!!au nayeye ni mchaga?
we nani alikuambia x-mass inasherehekewa gheto??? hii ni sikukuu ya kifamilia zaidi, so jumuika na wanafamilia
Eee sanaaa!!ndo kinachokuleta kila siku!Kwani wewe unaona kuna cha maana hapa?
sasa kama hakuna cha maana kinachokufanya ujipitishe huku nn??? vihede mswede vingine bwana, unayempitishia hapa hayupo so pita tu kamuandalie mumeo cha mchana
Kwani wewe unaona kuna cha maana hapa?
Eee sanaaa!!ndo kinachokuleta kila siku!
Eee sanaaa!!ndo kinachokuleta kila siku!
Kama hakuna cha maana wewe kilichokuleta hapa ni nini?
Basi nawe hauna maana ndio maana umekuja kwenye mambo ambayo hayana umaana.
Hapa hakuna jipya....imegeuka chichat mods fungeni tu huu uzi umepoteza maana. imekuwa sehemu ya kutakiana habari za asubuhi mara merry Xmas jamaa yenu hana jipya ni disappointment.
utabaki hatihati.....!!!!
utaishia hvyo hvyooooo....!!!
Mapashkuna bwana! HaaaaNimekuja kuongeza urefu wa thread tumfunike diamond maana anajiona sana mwaka huu lazima haisome...thread yetu iwe ndefu mpaka akome.
Leo kongo hakufai kumetapika, shopping ushafanya wewe?
Nimekuja kuchat nshakwambia...tumfunike dangote maana anajifanya kila kitu yeye.
Kwa kigodoro tuu,salute!
Uchat na nani?si umesema mods wafunge uzi wewe?
Hata hivyo sitaki malumbano na wewe,kawatafute waswahili wenzio wa tandale huko.
Uchat na nani?si umesema mods wafunge uzi wewe?
Hata hivyo sitaki malumbano na wewe,kawatafute waswahili wenzio wa tandale huko.
sio kosa lake mama, you can take a person out of tandale bt u can never take tandale out of a person