Kushindwa kwa huyo king wao wa playback watatafuta visingizio kama walivyotafuta fiesta.
Duuu raha ya huu uzi usome comments daaa
Hahahaha nifah umenichekesha sana... Mimi nafurahi kuona watu wanapambana kwaajili ya wanao penda! Ninacho furahi ni kuona upinzani kama ule wa yanga na simba!
Lakini msitoane macho!
Wachawi wa nchii hii hawatoki ulaya eti...... Ni watanzania wenyewe ndio ambao wanafanyiana uchawi. Huu mnaoufanya ni uchawi acheni kutia chumvi kwa hao watoto.
Mi alinikunaga kwenye wimbo huu pia na una maana sana.
"Yule alie kupa wewe, ndo kaninyima mimi, na kama riziki anatoa yeye........ ila Mungu ndo anatoa hata kwa foleni hata kama niko nyuma nitapata lazima."
We nae kakojoe ukalale....
Mbona unajitesa sanaaaa omame omamee,omame haya mameee aaaeeee...
Uwiii rhumba limekoleaje???
Naona unafikiri kwa kutumia ..........o
Kuna asali na shubiri,ujana kiza na nuru....we mwana wewe mwana....
Asisahau na kuvaa pampasi.
Ndo maana yake....maana fulu kuozesha godoro.
Hivi kuna shubiri chungu kama ya kuzomewa leaders?
anapatags zile zinazoandaliwa sebuleni tuu
Hold on puliiiziii, Domo mshauri wake ni Wema tulipotaka kumpa ushauri mzuri hawara yake akatutukana tuachane nao kwanza visimu vyenyewe tunavyotumia ni Vitecno, sasa tumeamuwa kumrudishia Mfalme kiti chake tatizo liko wapi?
Anawezaje kuwashinda saut soul jamani???uwezo huo hana watu wanataka mziki mzuri sio viduku
Link hii hapa https://mkito.com/mobile/artist-profile/alikiba/564cc Matola
Muda wa kununua nyimbo za Alikiba ndo huu, kumbuka hata ukidownload wimbo wa bure Alikiba anapata kiasi fulani
Tumchangie msanii tunayemkubali
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Nimesikiliza hako kauwimbo cha F.A ft kibakuli kanachoitwa kamevunja rekodi ya mkito ni kabaya najuta kumaliza bundle yangu....