Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

aisee kama kuna nyimbo mbaya aliwahi kuitoa Binamu basi ni hii aliyomshirikisha "4real". ni majanga. bora turudi uswazi tucheze sugua gaga na kitorondo

Najaribu kuilinganisha na mfalme nimegundua ni sawa na kulinganisha kitambi na mimba...

Chorus waliyokuwa wanaisifia ni mbovu mnooo ...nimeusikiliza mara moja tu na siutaki tna
 
Najaribu kuilinganisha na mfalme nimegundua ni sawa na kulinganisha kitambi na mimba...

Chorus waliyokuwa wanaisifia ni mbovu mnooo ...nimeusikiliza mara moja tu na siutaki tna

Hhhhhhhhaaa
 
Mhhhhhhhh sasa huyu King alikua wapi siku zote????????
Kasubiri wenzake wamekaa kwenye game eti "The king is back...

Ali Kiba tunajua una sauti nzuri ila you were having all the time hukuweza kutumia
usilazimishe kurudi kwa nguvu just let the nature do its course.. ni sawa na sa hizi
Afande Sele arudi aanze kusema "Mfalme wa Rhymes" nimerudi" Ni kitu hakiwezekani
Kila mfalme na wakati wake..

Huna jinsi ndo hivyo tena mfalme amesharudi kwenye kiti chake after kukifuta vumbi.
Na hakukuwa na aliyethubutu kukikalia kwa miaka yote mitatu aliyoamua kujipa likizo ya muziki.
The King is back!!
Ova
 
Najaribu kuilinganisha na mfalme nimegundua ni sawa na kulinganisha kitambi na mimba...

Chorus waliyokuwa wanaisifia ni mbovu mnooo ...nimeusikiliza mara moja tu na siutaki tna

Kuna wakati hadi nakuhisi wewe ni Diamond, maana Dah tangu zomeo la Fiesta umevurugwa kabisa.
Ova
 
Jamani sasa hivi ni saa 02:27 am usiku wa manane.
Na sasa natangaza rasmi kuwa naingia rasmi kwenye shift ya night kupambana na hawa vibwagala wa mondi mpaka wakimbie mji.
Kuanzia saa 03:00 am nakuwa hewani hadi asubuhi, kwa sasa bado napitia comment zenu.
 
jamani huyu dada anauliza atajiunga vipi na hii fanclub?

923976_510367549067902_1295107859_n.jpg
 
Nimesikiliza hako kauwimbo cha F.A ft kibakuli kanachoitwa kamevunja rekodi ya mkito ni kabaya najuta kumaliza bundle yangu....

Mkuu nisaidie kuhesabu page tupo page ya ngapi? Thread inakimbia kama treni ya express kama umekaa station za vijijini hii ngoma haisimami.
 
Jamani sasa hivi ni saa 02:27 am usiku wa manane.
Na sasa natangaza rasmi kuwa naingia rasmi kwenye shift ya night kupambana na hawa vibwagala wa mondi mpaka wakimbie mji.
Kuanzia saa 03:00 am nakuwa hewani hadi asubuhi, kwa sasa bado napitia comment zenu.

Asanta mkuu, sasa ni saa 06:50 kwa EA time niko hapa kukupokea kijiti na leo ni friday, woza friday.
 
Asanta mkuu, sasa ni saa 06:50 kwa EA time niko hapa kukupokea kijiti na leo ni friday, woza friday.

Ngoja nianze kuwachanganya sasa, manake ni kama tumewafungia kwenye chumba fulani cha giza na hawajuani kabisa na hawana pa kutokea kwa sababu funguo tunazo sisi na kiti cha mfalme wetu sisi ndio walinzi wake.
 
Kiba's fans oyee!!ushauri wangu wa leo namwomba Mfalme asiegemee sana kule mawingu tutampoteza aisee....ila sina chuki na mawingu wala ninii,afu vipi kama leo tusipoteze calories zetu kujibishana na majini vitrooorondo maana hao ni kama wamepigwa wanatafuta shari na kupoteza maudhui ya uzi...Kimbelembele kitawatokea puani wa mtaa wa jirani!
 
Kiba's fans oyee!!ushauri wangu wa leo namwomba Mfalme asiegemee sana kule mawingu tutampoteza aisee....ila sina chuki na mawingu wala ninii,afu vipi kama leo tusipoteze calories zetu kujibishana na majini vitrooorondo maana hao ni kama wamepigwa wanatafuta shari na kupoteza maudhui ya uzi...Kimbelembele kitawatokea puani wa mtaa wa jirani!

Wewe toa ushaurii mbona unatuwaza sana badala utoe ushaurii,vipi t shirt zimetokaaaaa au mnasubiriii niniii
 
Kiba's fans oyee!!ushauri wangu wa leo namwomba Mfalme asiegemee sana kule mawingu tutampoteza aisee....ila sina chuki na mawingu wala ninii,afu vipi kama leo tusipoteze calories zetu kujibishana na majini vitrooorondo maana hao ni kama wamepigwa wanatafuta shari na kupoteza maudhui ya uzi...Kimbelembele kitawatokea puani wa mtaa wa jirani!

wanavihede mswedeee haoo!
 
Kiba's fans oyee!!ushauri wangu wa leo namwomba Mfalme asiegemee sana kule mawingu tutampoteza aisee....ila sina chuki na mawingu wala ninii,afu vipi kama leo tusipoteze calories zetu kujibishana na majini vitrooorondo maana hao ni kama wamepigwa wanatafuta shari na kupoteza maudhui ya uzi...Kimbelembele kitawatokea puani wa mtaa wa jirani!

Hadi umetaja neno vitoroondo itakuwa ulikuwa unaimba wimbo wa mdogomdogo......malizia sasa mwendawazimu kaingiaje
 
Back
Top Bottom