Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Imekuchomaaa...poyeeee....anahonga Murano tuuu....chezea kuhongwa miswaki...

Hivi kuhongwa ni sifa eeh?tuambie wewe umewahi kuhongwa nini?au ni kusherehekea murrano aliyohongwa mwenzio baada ya kug.o.ngwa kinyeo kwa miaka mi4???
Pole yako uliyoona magari ukubwani tumezaliwa tumeyakuta na hadi sasa tuna drive yetu wenyewe...huo wivu unatoka wapi sasa???
Labda angekua kanunua mwenyewe angeniumizaje jamani???
 
Hahahaaaa karibu mamaaa ya kigodoro naona umekuja kwa mwendo wa baiskeli ya miti....ulikua wapi siku zote???

Alikua anatengeneza nyongo akuleteee maana ndimu haziwatoshiii
 
Hahahaaa....watu toka wasikie Diamond sukari ya warembo basi wanatamani kuionja, na hivyo ndo hawana uwezo wa kuipata ndo wanamchukiajeee...halafu nashangaa wanaume wanaomchukia na kumuweka midomoni wanataka nini...au sujui ndo ule ugonjwa wa Upungufu wa wanaume nchini (UWANCHI) unafanya kazi...

Chezea Dai wewe Kigoma line...kwa baba na mamaa...!

Haya hiyo sukari ya warembo wewe umeionja???sukari baada ya kupata pesa...wakati anasota pale mapipa hata wauza baa walikua hawamtaki kwani alikua na chumvi?
 
Alikua anatengeneza nyongo akuleteee maana ndimu haziwatoshiii

Mwambie nipo tayari....ajiandae tu na yeye kuitapika hiyo nyongo aliyonayo manake nipoje tayari kumpa uji wa chumvi???
 
Hatibuliwi mtu nyongo......nyongo zimekomaaaa.Pwani imechafuka lakin hatapik mtu
 
Hata amuongee jet.....chezea tifu tifu wewe??anatembea na pampasi maana dhohari ileeeee......mchawi chafya huku mambo hadharani.
 
Sukari ya warembo wapiiiiiiii??!!!mbilimbi mbovu ikiguswa imetumbuka.Haya waosha vinywa karibuni.
 
Huu unafiki sasa,kuitwa tu bila kuchukua kuna faida gani???

Hapo sass......!!!!!! Hivi yule anaenda chooni afu akunyi na yule aliyebaki nano bora????? Bora yule aliebaki kuliko alienda kunusa harufu tu Kule tatito Diamond ana mashabiki hewa jamani...... Wote nyinyi mnaokuja hapa kujipendekeza hapa kwanini amkupiga kura jamani... Huo ndo unafiki wenyewe... Unakuta jitu lipo hapa linachonga kama mdomo wa bata lakini halijawaimpigia kula Hugo mondi alipokuwa anawania vitunzo mbalimbali........
 
Tuliompigia kura kipind kile katutibua.....abaki na hao manyang'unyang'u
 
Alikua anatengeneza nyongo akuleteee maana ndimu haziwatoshiii

Sina muda wa kujibizana na mtu, mie nimequote wewe nashangaa watu mbio mbio khaaaa.....ndo yale yale anyegeshwe mwenzio...halafu utamani wewe kumong'onyolewa...
Ukiona hujawa quoted pita vileee....inahusuuu....

Ndo nshasemaaa....!
 
Heheheee watu wamecharukajeee? Mipovu ya midomo inawatoka kisa Diamond....heheheiyya....

Hahahaaaaa mamaaaa ya kitorondo si ulijidai umekuja kutibua nyongo??? Jaribu basi mwanadaslam niko hapa nakusubiri...
 
Hata amuongee jet.....chezea tifu tifu wewe??anatembea na pampasi maana dhohari ileeeee......mchawi chafya huku mambo hadharani.

Hahahaaaa huyo ndomo mwenyewe anamtangaza wema hatembei bila pedi maana kinye.o kimesha expire hana habari....uwiiiii mjini patamuje jamani???naanzaje kuhama sasa
 
Sina muda wa kujibizana na mtu, mie nimequote wewe nashangaa watu mbio mbio khaaaa.....ndo yale yale anyegeshwe mwenzio...halafu utamani wewe kumong'onyolewa...
Ukiona hujawa quoted pita vileee....inahusuuu....

Ndo nshasemaaa....!

Hhhhhhhhaaaaaaaaaa ni hivi nasema hivii,ndio nshasema hhhhhhaaa haya maneno anayapenda Mrembo by nature
 
Back
Top Bottom