Imekuchomaaa...poyeeee....anahonga Murano tuuu....chezea kuhongwa miswaki...
Hahahaaaa karibu mamaaa ya kigodoro naona umekuja kwa mwendo wa baiskeli ya miti....ulikua wapi siku zote???
Hahahaaa....watu toka wasikie Diamond sukari ya warembo basi wanatamani kuionja, na hivyo ndo hawana uwezo wa kuipata ndo wanamchukiajeee...halafu nashangaa wanaume wanaomchukia na kumuweka midomoni wanataka nini...au sujui ndo ule ugonjwa wa Upungufu wa wanaume nchini (UWANCHI) unafanya kazi...
Chezea Dai wewe Kigoma line...kwa baba na mamaa...!
Alikua anatengeneza nyongo akuleteee maana ndimu haziwatoshiii
Mbona kibakuli yamemshinda kuwa hata nominated??
Nifa atakumeza amesema yupo tayari kula ban
Huu unafiki sasa,kuitwa tu bila kuchukua kuna faida gani???
Alikua anatengeneza nyongo akuleteee maana ndimu haziwatoshiii
Kumbe tuzo wamechukua hao mashogaaaaa
Heheheee watu wamecharukajeee? Mipovu ya midomo inawatoka kisa Diamond....heheheiyya....
Zamu ya mashoga wakubwa kale kashoga kadogo bado tale ajakakomaza vizur... Mana hakageuzi vizuri.........
Hata amuongee jet.....chezea tifu tifu wewe??anatembea na pampasi maana dhohari ileeeee......mchawi chafya huku mambo hadharani.
Sina muda wa kujibizana na mtu, mie nimequote wewe nashangaa watu mbio mbio khaaaa.....ndo yale yale anyegeshwe mwenzio...halafu utamani wewe kumong'onyolewa...
Ukiona hujawa quoted pita vileee....inahusuuu....
Ndo nshasemaaa....!
Heheheee watu wamecharukajeee? Mipovu ya midomo inawatoka kisa Diamond....heheheiyya....
Andika vizuri basiii