Ali Kiba Fans' Special Thread...

Tobaaaaaa wakati mtoto nikishidwa majibizano ya nimekusambusambusambu kama kibagi nilikua naanza kuongea ata kilugha plus freach...... Ilikua inashilia kuwa nimeshindwa bila shaka na wewe ndo ivo ndugu........!!

Achana nao hawajiwezi bwana wanatangaza vita na rungu mkononi wakati sisi tuna vifaru....ni bora kukaa kimya ukalinda heshima yako kuliko kujishaua wakati hujiwezi...
 
Tobaaaaaa wakati mtoto nikishidwa majibizano ya nimekusambusambusambu kama kibagi nilikua naanza kuongea ata kilugha plus freach...... Ilikua inashilia kuwa nimeshindwa bila shaka na wewe ndo ivo ndugu........!!

Haya pita hiviii kakutane na hii ========> ikutulize kama ndogo utakua na bwawa useme niongeze unene bye
 
Habari buree magazeti hela buana unadhan kukaa kimya ni bure habari ndio hiyoo

Ila kusema ukweli Kiba mzuri toka kitamboo...nlikuwa namuonaga enzi zile anakula msoto studio za G2 kwa marehemu Roy...Mkaka mashallah tuu....!
 
Achana nao hawajiwezi bwana wanatangaza vita na rungu mkononi wakati sisi tuna vifaru....ni bora kukaa kimya ukalinda heshima yako kuliko kujishaua wakati hujiwezi...

Vifaru vipo wapii mbona sio zaidi ya mapovu tu tunayafulia nguo
 
Haya pita hiviii kakutane na hii ========> ikutulize kama ndogo utakua na bwawa useme niongeze unene bye

Duh.......????? Pole sana ndo inayokutulizaga wewe usikute ndo mana umeachika Mara nyingi.......wenzio hatutulii tunaguna kimahaba ndugu.......!!! Sasa wewe unatulizwaga bana na unakua kama gogo?????? Afu ukimaliza unamwambia thanks my morning dew...... We endelea kujifanya wa kindangaten...... Kama inakutuliza wewe ni wewe peke yako
 
Ila kusema ukweli Kiba mzuri toka kitamboo...nlikuwa namuonaga enzi zile anakula msoto studio za G2 kwa marehemu Roy...Mkaka mashallah tuu....!

Chezeyaaa mwanaume kusifiwa mzuriiii helooo ya mafwiiiii
 

Sasa gazeti la ninii,au ndio kazi kubwa matumizi kidogo
 
hahahaaaa huyo ndomo mwenyewe anamtangaza wema hatembei bila pedi maana kinye.o kimesha expire hana habari....uwiiiii mjini patamuje jamani???naanzaje kuhama sasa

eti ninii?!
 
Vifaru vipo wapii mbona sio zaidi ya mapovu tu tunayafulia nguo

Niko hapa wewe si umejidai kumleta shoga ako mkajinadi mmekuja kutibua nyongo???mbona sijaona akinigusa???ajaribu auone moto....
 
Niko hapa wewe si umejidai kumleta shoga ako mkajinadi mmekuja kutibua nyongo???mbona sijaona akinigusa???ajaribu auone moto....

Haya yamwage usafishike koo we ni rafiki yangu sitaki ubanwe kifua halaf si unajua madokta wa bongo?
 
eti ninii?!

Hahahaaaa ulikua hujui best???habari ndio hiyo.....uwiiiiii sitoi tena umbea wa watu hiyo kazi namuachia warumi mimi naogopa tindikali jamani!!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…