Ali Kiba Fans' Special Thread...

utakuwa umekimbia milembe wewe hivi akili zako.ziko vizuri kweli unabwabwaja hapa kumtafutia kibakuli umaarufu kamwe hawezi pata ?????huyo .....

Ulijuaje kama amekimbia hiyo Milembe nawe ulikuwepo nini huko si unajua waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba.
 
hawa watoto wapuuz sana yaan kumuita ali kiba king wa muziki huu ni kashfa kubwa na kuwakosea heshima watu.hawa dully sykes,q chief na banana zoro kaeni mfikir huyo ali kiba kalingana na nani hapa mbn hamjawaita king acheni unafki na ushabiki wa kishamba mburula nyieeeee
 

bora hata useme wewe, Mi nikiwauliza kibakuli ni Kingwa nin sipewi majibu
 

Mbulula ni mama yako mzazi aliyekuzalia guest kwa mimba aliyoipata kwenye mkesha wa mbio za mwenge.
 
Du!!Kweli Kiba ni hatareeee!!Watu roho zinawauumaa!!,Na badoooo mtatetemekwa sana na mishipa ya fahamu mpaka muweweseke usikuuu!!King Kiba for real!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…