Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
ukawaona hawana mpango na kusema
hupendi kuniona naliaa
hupendi kuniona natesekaa
Na moyo wangu tena kuutesaaa nami narelax tu kwa sasa....
Ooooaaaiii×4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukawaona hawana mpango na kusema
hupendi kuniona naliaa
hupendi kuniona natesekaa
Ooh...mmenifurahisha sana kwa kweli!!mtaa wa jirani wakiona ivi wanalia kwa aibuu!!wao hadi wakumbushie scandal za mtu wao ndo wapate cha kuimba...
ooh...mmenifurahisha sana kwa kweli!!mtaa wa jirani wakiona ivi wanalia kwa aibuu!!wao hadi wakumbushie scandal za mtu wao ndo wapate cha kuimba...
ohoooo utaitwa hater sasa hv
TEAM KUSAFIRIA NYOTA ZA MADEMU
HALOOOOWWWWWEEEEEEEEEEEE
NTASUBIRI SANA BBBAAAA(IN MAKONDE VOICE)
na moyo wangu tena kuutesaaa nami narelax tu kwa sasa....
Ooooaaaiii×4
inaanza leo bila shaka itabidi wabadilishe muda maana muda mbaya! May be jumatatu inaweza kuwepo saa 4:45 kama movie zingine!
Inaanza Leo bila shaka itabidi wabadilishe muda maana muda mbaya! May be jumatatu inaweza kuwepo SAA 4:45 kama movie zingine!
nnaangalia hapa nimechoka kweli
ntacheki kesho marudio
Inaanza Leo bila shaka itabidi wabadilishe muda maana muda mbaya! May be jumatatu inaweza kuwepo SAA 4:45 kama movie zingine!
Hebu mwambie akajambe mbele uko, akuache upumuwe.
Kiba ni noma sana kwa kweli, yaani kaachia ngoma moja tu tena Audio, lakini Nassib ulimi nje. Kashaibua skendo kibao ili afunike, lakini Mwana imesimama palepale.
Asante Kiba kwa kutunyamazishia hawa jamaa maana walizidi sana kutuletea kelele humu ndani.
Ova
Kiba ni noma sana kwa kweli, yaani kaachia ngoma moja tu tena Audio, lakini Nassib ulimi nje. Kashaibua skendo kibao ili afunike, lakini Mwana imesimama palepale.
Asante Kiba kwa kutunyamazishia hawa jamaa maana walizidi sana kutuletea kelele humu ndani.
Ova
Izi method zake za marketing zitakuja kuchokwa hajajua.........Mpaka anadandi kahaba la Kiganda kutafuta kick, hivi huyu jamaa hawezi kutoa nyimbo bila bila kutafuta attention ya kuwatumia makahaba?
Kiba ni noma sana kwa kweli, yaani kaachia ngoma moja tu tena Audio, lakini Nassib ulimi nje. Kashaibua skendo kibao ili afunike, lakini Mwana imesimama palepale.
Asante Kiba kwa kutunyamazishia hawa jamaa maana walizidi sana kutuletea kelele humu ndani.
Ova
......Mpaka anadandi kahaba la Kiganda kutafuta kick, hivi huyu jamaa hawezi kutoa nyimbo bila bila kutafuta attention ya kuwatumia makahaba?
Izi method zake za marketing zitakuja kuchokwa hajajua...