Mimi nashangaa huu uzi kwa ajili ya fans wa Ali Kiba, nashangaa vitorondo nao wanauvamia.
eeeenh!.... mbona kama ya sitti mtemvu na umri wake wa masters!
diamond kamtoa kiba? duh...
Nimeshamtumia Kiba msg kwenye network kadhaa nasubili response yake ili nifanye mawasiliano ya moja kwa moja.
Na hii ni changamoto pia anatakiwa kuwa na simu ya kikazi ambayo namba ziwe wazi kwa public hata kwenye social network na awe na simu yake binafsi na familia yake.
eeeenh!.... mbona kama ya sitti mtemvu na umri wake wa masters!
diamond kamtoa kiba? duh...
Ni kweli hata kwenye profile yake instagram kaweka email tu,sijawahi ona namba zake za simu...au wadada wanamsumbua sana nini?
ndio daimond kamtoa kiba, uongooo??? kiba si alishakufa kimziki??? bishaaaa!!! baada ya kuona mwenzake anararua anga ndio akarudi na kiwewe ooh nimerudi kuchukua kiti changu, aliyemwambia kiti chake kimechukuliwa nani??? kila mtu anakichi chake bwaaaaa, yeye arudi afute vumbi kiti chake apige kaziiiiii na tutamuelewa tuuu, aache kelelee, hizi lalama lalama za ooh dogo ananidharau na ilihali mimi ndio nilietoa ruhusa akarekodiwa bure, so whatttttt???? anayaongea hayo sasa???? MWAMBIE TENA MUMWAMBIE KWA HERUFI KUBWAAA, AACHE KUMTUMIA DAIMOND KUJIRUDISHA KWENYE GAME, ACHAPE KAZI, KIPAJI ANACHO ILA CONFIDENCE NDIO MUNGU ALISAHAU KUMPA JAPO KWA BAHATI MBAYA MUNGU WETU HANAGA HIYANA.
Mimi nashangaa huu uzi kwa ajili ya fans wa Ali Kiba, nashangaa vitorondo nao wanauvamia.
Acha ujin...ga kwa hiyo mm ninayeshabikia simba ili hali ni wanaume wanaocheza nina element za kike? Wanaume wasishabikie wanamziki wakiume hata kama wanamziki mzuri??! Ngoma ikilia sana mwisho hupasuka diamond anaelekea ukingoni na showoff zake za kimbulula. Talk of the town ni ally kiba
Alichofanya ally kwenye wimbo wa fa ni sheedaaaaa
We kweli Kiazi unatoa mfano ambao ambao hau make sense, nani aliyezungumzia habari za kushabikia kitu? Toa mfano logic
halafu jingine siko team Ushuzi yoyote ile kama wewe ulivyo na pigo za kina dada kuingia kwenye magroup za team team nacho zungumzia ni uhalisi kuwa ALI KIBA anajua muziki zaidi ya Diamond hilo sikatai na halina Ubishi ila Ally Kiba nae atasubiri sana kumfikia Diamond sio kwa mafanikio wala uwezo hilo nalo halina Ubishi weka mahaba pemben mtoto wa kiume. Kama ni show off zake we zinakukera nini au huna cha kuShow off maana ile ni tabia yake huwezi kumlazimisha awe kama wewe. Akifanya show off Lil Wayne unafurahiiiii ila mbongo mwenzako Joto hasira.
Alichofanya ally kwenye wimbo wa fa ni sheedaaaaa
We kweli Kiazi unatoa mfano ambao ambao hau make sense, nani aliyezungumzia habari za kushabikia kitu? Toa mfano logic
halafu jingine siko team Ushuzi yoyote ile kama wewe ulivyo na pigo za kina dada kuingia kwenye magroup za team team nacho zungumzia ni uhalisi kuwa ALI KIBA anajua muziki zaidi ya Diamond hilo sikatai na halina Ubishi ila Ally Kiba nae atasubiri sana kumfikia Diamond sio kwa mafanikio wala uwezo hilo nalo halina Ubishi weka mahaba pemben mtoto wa kiume. Kama ni show off zake we zinakukera nini au huna cha kuShow off maana ile ni tabia yake huwezi kumlazimisha awe kama wewe. Akifanya show off Lil Wayne unafurahiiiii ila mbongo mwenzako Joto hasira.
Yaani kwa kuandika waraka tu mnajitahidi....
ukitaka uamini huyo jamaa hana mashabiki bali ni chuki za watu utaona idadi ya comments hahahahahahahahaha!H
Mh una lako jambo wewe si upite
Loh!!!!shoga angu dizaini sikuelewi jamani...hivi kuna mtu ambaye huwa anamponda ndomo huku kama wewe?imekuwaje tena???
Honestly sikulazimishi wala kukupangia mtu wa kumshabikia...Kweli mtu unayempenda unaweza kumponda vile???