Ali Kiba Fans' Special Thread...


kingine awe anaimba kwa vyombo nakumbuka kuna mwaka alishaimbaga kwa vyombo nimesahau hasa tukio lile sijui ni kili music au miss tz mtanikumbusha vizuri hivyo ni vizuri aendeleze ile tamaduni ya kuimba live band
 

ashaimbaga kwa kutumia vyombo ila nimesahau ilikua tukio gani
 
Hahahahaaaa naona mtaa wa pili wameiga wazo letu la special thread....
please guys waacheni wafanye yao,nawaombeni sana nisiwaone kule kwa vyovyote vile hata Kiba akipondwa vipi...
Hop wote ni waelewa,tumeelewana...
 
Hahahahaaaa naona mtaa wa pili wameiga wazo letu la special thread....
please guys waacheni wafanye yao,nawaombeni sana nisiwaone kule kwa vyovyote vile hata Kiba akipondwa vipi...
Hop wote ni waelewa,tumeelewana...

Ipo wapi hiyo uzi maana nilikuwa naisubiri kwa muda mrefu.huku naona ujin.ga mtupu
 
Hahahahaaaa naona mtaa wa pili wameiga wazo letu la special thread....
please guys waacheni wafanye yao,nawaombeni sana nisiwaone kule kwa vyovyote vile hata Kiba akipondwa vipi...
Hop wote ni waelewa,tumeelewana...

hahaaaaaa
hawana jipya team chuki binafsi hao
 
Uwiiiii jamani miss Strong na geniveros hamjaliona LE TAMKOZZZ au?waacheni na mambo yao...please

hahahaaa nilienda kuwapa ukwi sie hatunaga chuki wala ugomvi na team kudandia nyota za mademu
bila mademu no kick weraaaaaaa
matola uko wapi our herrrrrrooooooo
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa nilienda kuwapa ukwi sie hatunaga chuki wala ugomvi na team kudandia nyota za mademu
bila mademu no kick weraaaaaaa
matola uko wapi our herrrrrrooooooo

Hahahaaa kweli Matola ni zawadi kutoka kwa mungu kwetu sisi fans wa Kiba....
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…