Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hapo umenena mkuu!
Ushauri wangu Ally Kiba aongeze bidii katika kutawala jukwaa ili hadhira ishangweke!Pia video productions zake huwa haziendani na hadhi yake ofcourse ni mwanamziki bora bongo flavour wa kipindi chote so anatakiwa na video zake ziendane na ubora wake!

kingine awe anaimba kwa vyombo nakumbuka kuna mwaka alishaimbaga kwa vyombo nimesahau hasa tukio lile sijui ni kili music au miss tz mtanikumbusha vizuri hivyo ni vizuri aendeleze ile tamaduni ya kuimba live band
 
Ally Kiba nadhani una note huu ushauri somewhere wenzio isije ikawa tunatwanga maji kwenye kinu!!Amka Amka acha kuvaa nguo za kwendea matembezini stejini,engge active dancers wanaojua chereography hata kwa kuwa trained,toa nyimbo kwa wakati pia uwe tayari kuingia gharama za video zenye quality...alafu ivi kwani huwazi kufanya collabo na watu wa nje!!kuiga mazuri ni jambo jema.Nimeshari kwa mara ya kumi!na sitachoka mpaka ubadilike

ashaimbaga kwa kutumia vyombo ila nimesahau ilikua tukio gani
 
Hahahahaaaa naona mtaa wa pili wameiga wazo letu la special thread....
please guys waacheni wafanye yao,nawaombeni sana nisiwaone kule kwa vyovyote vile hata Kiba akipondwa vipi...
Hop wote ni waelewa,tumeelewana...
 
Hahahahaaaa naona mtaa wa pili wameiga wazo letu la special thread....
please guys waacheni wafanye yao,nawaombeni sana nisiwaone kule kwa vyovyote vile hata Kiba akipondwa vipi...
Hop wote ni waelewa,tumeelewana...

Ipo wapi hiyo uzi maana nilikuwa naisubiri kwa muda mrefu.huku naona ujin.ga mtupu
 
Hahahahaaaa naona mtaa wa pili wameiga wazo letu la special thread....
please guys waacheni wafanye yao,nawaombeni sana nisiwaone kule kwa vyovyote vile hata Kiba akipondwa vipi...
Hop wote ni waelewa,tumeelewana...

hahaaaaaa
hawana jipya team chuki binafsi hao
 
Uwiiiii jamani miss Strong na geniveros hamjaliona LE TAMKOZZZ au?waacheni na mambo yao...please

hahahaaa nilienda kuwapa ukwi sie hatunaga chuki wala ugomvi na team kudandia nyota za mademu
bila mademu no kick weraaaaaaa
matola uko wapi our herrrrrrooooooo
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa nilienda kuwapa ukwi sie hatunaga chuki wala ugomvi na team kudandia nyota za mademu
bila mademu no kick weraaaaaaa
matola uko wapi our herrrrrrooooooo

Hahahaaa kweli Matola ni zawadi kutoka kwa mungu kwetu sisi fans wa Kiba....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom