Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kuhusu collabo keshafanya na fally Ipupa (nilimsikia Mdakuzi na wengine wakisema)
Video ya mwana pia kaishoot nje...tuvute subira mambo mazuri yanakuja...

Umemjibu vema kabisa, itakuwa alisahau kama Kiba alishafanya wimbo wa R Kelly na wanamuziki wengine wa Afrika. Halafu kati ya wanamuziki wa Afrika, Kiba ndio aliimba sehemu kubwa. Asubiri goma alilofanya na Fally litoke.
Ova
 
Umemjibu vema kabisa, itakuwa alisahau kama Kiba alishafanya wimbo wa R Kelly na wanamuziki wengine wa Afrika. Halafu kati ya wanamuziki wa Afrika, Kiba ndio aliimba sehemu kubwa. Asubiri goma alilofanya na Fally litoke.
Ova

Hahahaaa nakuaminia sana Mdakuzi tatizo nawe upo busy sana jamani...kwani hilo box unalobeba (joking) halina likizo jamani...hahahaaaa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa nakuaminia sana Mdakuzi tatizo nawe upo busy sana jamani...kwani hilo box unalobeba (joking) halina likizo jamani...hahahaaaa

Hahahahaaa! Usijali box litashuka soon. Kweli, huwa namiss sana hapa, tumekuwa familia sasa inahitaji moyo sana kuwakosa. Nivumilieni wapendwa.
Ova
 
......Mpaka anadandi kahaba la Kiganda kutafuta kick, hivi huyu jamaa hawezi kutoa nyimbo bila bila kutafuta attention ya kuwatumia makahaba?

Unajua kuna tofauti kubwa sana kati ya kuimba na kuzungumza kwenye beat, Kiba anaimba, lakini Nassib anaongea tu kwenye beat. Kwa kuthibitisha hilo, isikilize Mwana then sikiliza Mdogomdogo.
Wanamuziki wasio na uwezo wa kutoka na nyimbo zinazogusa hisia za mashabiki mara nyingi husaka kick kabla ya kutoka. Ndio huwezi ona Chris Brown anatafuta kick kabla ya kuachia wimbo coz anajua kuandika na anajua kuimba.
Ova
 
Mkuu Matola pengine ili kuboresha huu uzi ungekuwa unaweka Updates hapo Kwa mfano kama kuna show flani Alikiba anafanya au Events au hata akitoa nyimbo mpya hii itawawezesha mashabiki wake kujua yupo wapi na anafanya nini

Kabla ya updates kwanza flash back ya siku tuliyokata mzizi wa fitina, mtaa wa pili Tsunami lake mpaka Billionare wa Tandale kapewa talaka na Madame.
 

Attachments

  • 1415883495316.jpg
    24.7 KB · Views: 64
Last edited by a moderator:
Kabla ya updates kwanza flash back ya siku tuliyokata mzizi wa fitina, mtaa wa pili Tsunami lake mpaka Billionare wa Tandale kapewa talaka na Madame.

Hahahaaaaaa Matola wewe bwana...uwe basi unatupia wenzio hatuwezi ku screen short kutoka insta
 
Last edited by a moderator:

Nassib mwenyewe mnafiki tu,first time wakati anaanza mziki nakumbuka aliulizwa role modal wake ni nani akasema ni ne-yo...juzikati alivyohojiwa na karueche akasema ni chriss brown,sijui ni kujipendejeza ama nini...
 
Tuliza boli son, nyinyi kila kitu mnawaza fursa tu, kama ni swala la fursa tayari ninazo.

Binadamu tumewazoea wewe ndio walewale ukinipiga umenionea na ukiniacha umeniogopa.

kuwa na fursa haina maana utaacha kutafuta fursa nyingine.....unafikiri hao wanaopiga escrow na zamani epa hawakuwa na fursa before....
 
Nassib mwenyewe mnafiki tu,first time wakati anaanza mziki nakumbuka aliulizwa role modal wake ni nani akasema ni ne-yo...juzikati alivyohojiwa na karueche akasema ni chriss brown,sijui ni kujipendejeza ama nini...

Hiyo ni dalili ya kutojitambua, kwa maana ya kufuata tu upepo unavyokwenda. Nassib hajitambui.
Ova
 
Wewe nae mbona hakuniambiaga kama upo dom maana mie nimetoka huko leo si ningekuja na mie kulea?

binamu kweli mi nipo km mwezi huku nalea natimka dec narudi jiji la makamba mecky sadik mvamizi tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…