Ali Kiba Fans' Special Thread...


Sasa hapo Kiba yupo wapi ?
Kiba j3 mbona alikuwepo Daresalam kwa man water anarekodi iyo Tabora alienda saa ngapi ?
 
Sasa hapo Kiba yupo wapi ?
Kiba j3 mbona alikuwepo Daresalam kwa man water anarekodi iyo Tabora alienda saa ngapi ?
Pls pls Abou Saydou mdogo wangu achana na mwendawazimu, kwanini unapenda kujishushia hadhi yako lakini?
Unakumbuka #KingKiba alituambia nini ile siku?
Naomba tuheshimu ushauri wake pls.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu unahakikisha wanakuambia thanks for your vote lakini?
Yaani baada ya kuclick pale kwenye jina la King unaclick kwa pale chini yake mkono wa kulia kuna neno VOTE ndio unakua umeshapiga kura tayari.

Yah mkuu, look
 

Attachments

  • Screenshot_2015-07-21-18-35-47.png
    13.7 KB · Views: 123
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…