Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Afu oooh diamond ananjaa anafanya show za siasa, mara ooh mashabiki walienda kusikiliza hoja hawakumfata yeye
Vipi hii ya LE KING ZAMUNDAAAZ TABORA J3 naona ilikuwa kama mkutano wa kijiji mkaogopa hata kutujuza MZEE PORI alikuwa ana show hahahaha KWELI MMEISHA HATA TUKIMTUMA MOSEIYOBO NINAUHAKIKA WATU MARA 20 ZAIDI YA HAWA WATATOKEA
Sasa hapo Kiba yupo wapi ?
Kiba j3 mbona alikuwepo Daresalam kwa man water anarekodi iyo Tabora alienda saa ngapi ?