Ty_Vigilante
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 2,890
- 2,455
Hivi Ali Kiba c alisema hawezi n hataki kufanya kazi n wa Nigeria et ataiua bongo fleva au inakuaje sasa hii sema davido mjanja sn nishajua anachotaka
Eeeeennheee king kiba anataka nin...!? Mkuu
well explained my sister big up lets ignore them permanentallyKilimbamula tunaomba utupumzishe tafadhali.Sitaki kuamini kama huwa huwaoni wenzio wanavyokuja huku kumwaga matusi na kutuchokoza.
Ulitegemea sisi tufanye nini? Sisi ni binadamu na tuna mioyo pia ambayo haiwezi kuvumilia karaha.
Wenzio wana kazi ya kutumention hadi imekuwa kero, jukwaa limekua halina maana tena.Tunaitwa katika upuuzi tena zaidi ya mara 3 katika uzi huohuo mmoja.
Sasa hiyo ni akili? Mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya huo upuuzi?
Naomba uanze pale mwanzo wa uzi halafu utaona walionza kuchafua huu uzi ni akina nani kisha ndio uje na tahmini zako hizi.
Huo utafiti wako sikubaliani nao hata kidogo. Hizo asilimia zako baki nazo tu.
Hata hivyo kuanzia sasa tumeamua kuwapotezea tu, wewe nimekujibu ili kuweka mambo sawa.
Ms.Lincoln kwani usipofollow watu ndo huoni picha zao vitu vyao wanavyofanya ndo maana alimuwishi stanbakora happy birth day alijuaj?Wito wangu kwa Kiba, afollow watu wengine, hasa wasanii.
Nitapiga hii kelele, kila siku.
Hao clouds, muda utashughulika nao.Si mnaona dahuu kaumbuka.
Sio king kiba n davido anataka kutake over east Africa Sana Sana Tanzania wakenya davido hawampendi toka alipoenda kufanya show dk 15 n kusepa
Soo unachomaanicha anaamini akifanya collabo na ali kiba atakubalika.? Right!an y isiwe nanii yule wa jamaani moyo wangu ndo amtoe..! Wazungu wanasema "if you want to compete wit de Best you need to search for bigger wings".! Haaa haaah
1.team kiba square 2.officiall ali kiba fan page zooote ni zake hizi kaangalie hata AY alimtakia birthday kwenye hizo a/c ila ile ni official ali kiba for really #kiba jeuri ww akiamua kitu ndo hicho hicho waulize tigo aliwafanyaje hawana hamu nae anaringia kipaji chake au hata cloudz wanajua kiba hapelekeshi "lowassa " alimfanyaje kiba akakataa kwenda arusha #arrogant kiba dont follow any body on instagram a/c pop it inWito wangu kwa Kiba, afollow watu wengine, hasa wasanii.
Nitapiga hii kelele, kila siku.
Hao clouds, muda utashughulika nao.Si mnaona dahuu kaumbuka.
1.team kiba square 2.officiall ali kiba fan page zooote ni zake hizi kaangalie hata AY alimtakia birthday kwenye hizo a/c ila ile ni official ali kiba for really #kiba jeuri ww akiamua kitu ndo hicho hicho waulize tigo aliwafanyaje hawana hamu nae anaringia kipaji chake au hata cloudz wanajua kiba hapelekeshi "lowassa " alimfanyaje kiba akakataa kwenda arusha #arrogant kiba dont follow any body on instagram a/c pop it in
D'banj alilia collabo na diamond ππππ
Dbanj wa sasa ni sawa na dudu baya, kashachoka kimziki.
Labda ungeniambia Davido au Wizkid hapo sawa
1.team kiba square 2.officiall ali kiba fan page zooote ni zake hizi kaangalie hata AY alimtakia birthday kwenye hizo a/c ila ile ni official ali kiba for really #kiba jeuri ww akiamua kitu ndo hicho hicho waulize tigo aliwafanyaje hawana hamu nae anaringia kipaji chake au hata cloudz wanajua kiba hapelekeshi "lowassa " alimfanyaje kiba akakataa kwenda arusha #arrogant kiba dont follow any body on instagram a/c pop it in
Ms.Lincoln kwani usipofollow watu ndo huoni picha zao vitu vyao wanavyofanya ndo maana alimuwishi stanbakora happy birth day alijuaj?
huyo stan bakora ndio nani?.na ana manufaa gani kimziki?
Jamani, shule muhimu sana.muwe mnamshauri vitu vya maana.tunaoumia ni sisi mashabiki zake.
Yani hii pointless my dear
Huyo STAN BAKORA ndio nani?.Na ana manufaa gani kimziki?
Jamani, shule muhimu sana.Muwe mnamshauri vitu vya maana.Tunaoumia ni sisi mashabiki zake.
Yani hii pointless my dear
Hahahahahahaahaahahahahaahahabaha
Mbavu zangu !!! Hahahah
Nachekesha sana ee?
Haya ukimaliza kucheka, ukae sawa sawa.
Link hii hapa mkuu jacksonkamlengaUsipite tuu.
http://afrimma.com/nominees-2015/ vote kwa kiba
Naomba kuelewesha ili niweze kupga mara nyingi nafanyaje maake hawa wese***e team domo wanazngua washaanza kutuita eti 7-1 naomba msaada