Ty_Vigilante
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 2,890
- 2,455
Hivi Ali Kiba c alisema hawezi n hataki kufanya kazi n wa Nigeria et ataiua bongo fleva au inakuaje sasa hii sema davido mjanja sn nishajua anachotaka
Eeeeennheee king kiba anataka nin...!? Mkuu