Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Lets do this for Africa haaa haaah..! Safiii kiba for real
 

Attachments

  • 1437561230962.jpg
    1437561230962.jpg
    43.2 KB · Views: 97
Kilimbamula tunaomba utupumzishe tafadhali.Sitaki kuamini kama huwa huwaoni wenzio wanavyokuja huku kumwaga matusi na kutuchokoza.
Ulitegemea sisi tufanye nini? Sisi ni binadamu na tuna mioyo pia ambayo haiwezi kuvumilia karaha.

Wenzio wana kazi ya kutumention hadi imekuwa kero, jukwaa limekua halina maana tena.Tunaitwa katika upuuzi tena zaidi ya mara 3 katika uzi huohuo mmoja.
Sasa hiyo ni akili? Mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya huo upuuzi?

Naomba uanze pale mwanzo wa uzi halafu utaona walionza kuchafua huu uzi ni akina nani kisha ndio uje na tahmini zako hizi.

Huo utafiti wako sikubaliani nao hata kidogo. Hizo asilimia zako baki nazo tu.

Hata hivyo kuanzia sasa tumeamua kuwapotezea tu, wewe nimekujibu ili kuweka mambo sawa.
well explained my sister big up lets ignore them permanentally
 
Wito wangu kwa Kiba, afollow watu wengine, hasa wasanii.
Nitapiga hii kelele, kila siku.
Hao clouds, muda utashughulika nao.Si mnaona dahuu kaumbuka.
Ms.Lincoln kwani usipofollow watu ndo huoni picha zao vitu vyao wanavyofanya ndo maana alimuwishi stanbakora happy birth day alijuaj?
 
Last edited by a moderator:
Sio king kiba n davido anataka kutake over east Africa Sana Sana Tanzania wakenya davido hawampendi toka alipoenda kufanya show dk 15 n kusepa

Soo unachomaanicha anaamini akifanya collabo na ali kiba atakubalika.? Right!an y isiwe nanii yule wa jamaani moyo wangu ndo amtoe..! Wazungu wanasema "if you want to compete wit de Best you need to search for bigger wings".! Haaa haaah
 
Soo unachomaanicha anaamini akifanya collabo na ali kiba atakubalika.? Right!an y isiwe nanii yule wa jamaani moyo wangu ndo amtoe..! Wazungu wanasema "if you want to compete wit de Best you need to search for bigger wings".! Haaa haaah

Davido kashakubalika anachotaka kufanya k kutaka fans wa team zote kiba n diamond okey umeckia dbanj kaomba Sana collabo n diamond halafu pia kuna collabo ya davido ft diamond
 
Wito wangu kwa Kiba, afollow watu wengine, hasa wasanii.
Nitapiga hii kelele, kila siku.
Hao clouds, muda utashughulika nao.Si mnaona dahuu kaumbuka.
1.team kiba square 2.officiall ali kiba fan page zooote ni zake hizi kaangalie hata AY alimtakia birthday kwenye hizo a/c ila ile ni official ali kiba for really #kiba jeuri ww akiamua kitu ndo hicho hicho waulize tigo aliwafanyaje hawana hamu nae anaringia kipaji chake au hata cloudz wanajua kiba hapelekeshi "lowassa " alimfanyaje kiba akakataa kwenda arusha #arrogant kiba dont follow any body on instagram a/c pop it in
 
1.team kiba square 2.officiall ali kiba fan page zooote ni zake hizi kaangalie hata AY alimtakia birthday kwenye hizo a/c ila ile ni official ali kiba for really #kiba jeuri ww akiamua kitu ndo hicho hicho waulize tigo aliwafanyaje hawana hamu nae anaringia kipaji chake au hata cloudz wanajua kiba hapelekeshi "lowassa " alimfanyaje kiba akakataa kwenda arusha #arrogant kiba dont follow any body on instagram a/c pop it in

Haaaaaaaaah haaaaaaah...! Ni shidaaa
 
Dbanj wa sasa ni sawa na dudu baya, kashachoka kimziki.

Labda ungeniambia Davido au Wizkid hapo sawa

Upo serious we kwanza huyo wiz kid n mtoto sn kule Nigeria Ana buruzwa sn davido n pia kule kuna wasanii ambao hawachujui km d'banj, 2 face n P. Square always wapo juu
 
1.team kiba square 2.officiall ali kiba fan page zooote ni zake hizi kaangalie hata AY alimtakia birthday kwenye hizo a/c ila ile ni official ali kiba for really #kiba jeuri ww akiamua kitu ndo hicho hicho waulize tigo aliwafanyaje hawana hamu nae anaringia kipaji chake au hata cloudz wanajua kiba hapelekeshi "lowassa " alimfanyaje kiba akakataa kwenda arusha #arrogant kiba dont follow any body on instagram a/c pop it in

Nawewe nawe, sasa iyo ni akili?
Kuwa arrogant hakumsaidii lolote.
This is business.
 
Ms.Lincoln kwani usipofollow watu ndo huoni picha zao vitu vyao wanavyofanya ndo maana alimuwishi stanbakora happy birth day alijuaj?

Huyo STAN BAKORA ndio nani?.Na ana manufaa gani kimziki?
Jamani, shule muhimu sana.Muwe mnamshauri vitu vya maana.Tunaoumia ni sisi mashabiki zake.
Yani hii pointless my dear
 
Last edited by a moderator:
Huyo STAN BAKORA ndio nani?.Na ana manufaa gani kimziki?
Jamani, shule muhimu sana.Muwe mnamshauri vitu vya maana.Tunaoumia ni sisi mashabiki zake.
Yani hii pointless my dear

Hahahahahahaahaahahahahaahahabaha

Mbavu zangu !!! Hahahah
 
Back
Top Bottom