Ali Kiba Fans' Special Thread...


Mkuu kuna kitu umekosea hapo juu edit. 2face yupo Hypertek Digital na sio Rockstar na Yemi Alade yupo Effyzie Music Group na sio HKN ya kina Davido pia Wizkid ameshaondoka kwa Banky W(EME) yupo Starboy Entertainment,Seyi shay hakuwahi kuwa EME.
 
Last edited by a moderator:
tuvuteni subra sio mwaka mmoja nyimbo 20 sasa si bora mtu utoe album tu king hana haraka tukutane mwezi wa nane

I beg to differ,
Ivi mwaka mmoja unatakiwa utoe nyimbo ngapi?
Hakuna idadi, bali unatakiwa usikauke masikioni mwa wasikilizaji wako,
Sio kutokauka masikioni tu bali hata machoni pao,
Kwa ubora na radha tofauti tofauti za nyimbo.
 
Toka nianze kusikia #pwilo unasema kuna collabo ya King na Fally ipupa ni miezi inakatika
Haya bado tunangoja.But bora nisingesikia.
 
Mkuu kuna kitu umekosea hapo juu edit. 2face yupo Hypertek Digital na sio Rockstar na Yemi Alade yupo Effyzie Music Group na sio HKN ya kina Davido pia Wizkid ameshaondoka kwa Banky W(EME) yupo Starboy Entertainment,Seyi shay hakuwahi kuwa EME.

Kweli kabsa seyi alikuwa flytime music sasa ivi yupo island records acha kudaganya watu pwilo
 
Last edited by a moderator:
Shikamo pwilo we jamaa n muongo wa kutupwa n unawashika Sana wenzako kwa uongo shikamoo tena pwilo nasema shikamoo pwilo endeleea kuwajaza 👏👏👏👏👏
 
Last edited by a moderator:
Toka nianze kusikia #pwilo unasema kuna collabo ya King na Fally ipupa ni miezi inakatika
Haya bado tunangoja.But bora nisingesikia.

Huyo pwilo anawadaganya Sana humu iyo colabo ya kiba n fally ipupa haipo may be wa record Jana ucku km collabo kufanyika ilitakiwa kufanyika kipindi kile kiba ana bamba n dushelele ila hakufanya aliongea tu
 
Last edited by a moderator:
acha umbea we kedrick hebu lete hiyo coment niliyosema kuna collabo ya kiba na fally pupa
 
Last edited by a moderator:
we kedrick ni mbea sana mi nilisema saut sol huyo fally pupa nilisema lini acha umbea halafu unakuwa kama romy jons ila ukweli utajulikana
 
Last edited by a moderator:
we kedrick ni mbea sana mi nilisema saut sol huyo fally pupa nilisema lini acha umbea halafu unakuwa kama romy jons ila ukweli utajulikana

Kwaiyo ujaona mashabiki wenzanko wa kiba wanasema ww ndo umewambia kuna collabo ya fally ipupa pwilo embu waulize wao sio Mimi lini umesema Kuna collabo ya fally ipupa
 
Last edited by a moderator:
Kwaiyo ujaona mashabiki wenzanko wa kiba wanasema ww ndo umewambia kuna collabo ya fally ipupa pwilo embu waulize wao sio Mimi lini umesema Kuna collabo ya fally ipupa
duu nani kasema mtaje "
 
Last edited by a moderator:
duu may be alinielewa vibaya ila mi niliwataja saut sol sio fally pupa

Siku nyingi sanaa, basinkama sio wewe yule alikua Abou Saydou
Ivi sasa si angetumia fursa iyo..sasa ivi utasikia domo ana collabo na fally atatoboa africa ya kati tumebungaa tu
 
Last edited by a moderator:
Ms.Lincoln tatizo la kiba hapendi kuweka vitu wazi kwa mfano 1.collabo ya saut sol wao ndo wamewajulisha watu kama wana collabo na kiba ila kiba hajapost hiyo

2.collabo ya davido kama sio davido kuvujisha siri kuwa ana collabo na kiba tusingejua hadi ingetoka

3.collabo ya bella yeye christian bella ndo aliwajulisha watu kuwa ana collabo na kiba ila kiba ye alipost baada ya bella kuvujisha siri

Note: ali kiba ana project nyingi anafanya ila kwa siri kuna siku utaniamini na kuna wakati anaenda kufanya show bila kupost kwenye mitandao ya kijamii ye anaangalia maslahi sio sifa
 
Last edited by a moderator:
Ms.Lincoln ukimya wa kiba unatokana na management yake inayomsimamia kazi zake so yeye anafuata wanavyotaka rockstar 4000 wale sio waswahili ndo kinacho mcost ali kiba

ila we subiri hata mi mwenyewe sipendezwi na hivyo anavyofanya kiba mana ye mpake kitu kikamilike ndo anaanza promo

#ms .lincoln kiba anajua nini anafanya so vuta subira
 
Last edited by a moderator:

Daaaah!
Mkuu una hatari, huu uongo ni wa kimataifa, mbona unawadanganya sana wenzio???.....Yemi Alade yupo HKNπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
...duuh!....umewakamata kweli, halafu na wenyew wanakupa likes tu!
HahahahaaaaaaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜±πŸ˜±πŸ˜±
 
Last edited by a moderator:
nikusaidie nn sasa??au unatafuta umaarufu huku soma uelewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…