pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa baada ya vanessa mdee kufanikisha kuwapelekea king king kiba kwa wizkid na davido na yeye vanessa akapewa ofa ya kufanya collabo na yemi alade na seyi shay
yemi alade na davido wapo label moja (HKN) na wizkid na seyi shay wapo label moja (Banky W) so ilikuwa rahisi mno kukutana nao vanessa.
NOTE;king kiba ,stanley , na 2face wapo label moja (rockstar 4000) ndo mda mwingine nashangaa watu wanavyosema king kiba hana hela ya collabo wakati wasanii wengi wakubwa wapo chini ya (rockstar4000) ni rahisi kufanya nao collabo akiwemo fally ipupa sawa nifah peterchoka Th Name vuteni subra mambo mazuri hayataki haraka.
tuvuteni subra sio mwaka mmoja nyimbo 20 sasa si bora mtu utoe album tu king hana haraka tukutane mwezi wa nane
Mkuu kuna kitu umekosea hapo juu edit. 2face yupo Hypertek Digital na sio Rockstar na Yemi Alade yupo Effyzie Music Group na sio HKN ya kina Davido pia Wizkid ameshaondoka kwa Banky W(EME) yupo Starboy Entertainment,Seyi shay hakuwahi kuwa EME.
Toka nianze kusikia #pwilo unasema kuna collabo ya King na Fally ipupa ni miezi inakatika
Haya bado tunangoja.But bora nisingesikia.
we kedrick ni mbea sana mi nilisema saut sol huyo fally pupa nilisema lini acha umbea halafu unakuwa kama romy jons ila ukweli utajulikana
duu may be alinielewa vibaya ila mi niliwataja saut sol sio fally pupa
duu may be alinielewa vibaya ila mi niliwataja saut sol sio fally pupa
sasa baada ya vanessa mdee kufanikisha kuwapelekea king king kiba kwa wizkid na davido na yeye vanessa akapewa ofa ya kufanya collabo na yemi alade na seyi shay
yemi alade na davido wapo label moja (HKN) na wizkid na seyi shay wapo label moja (Banky W) so ilikuwa rahisi mno kukutana nao vanessa.
NOTE;king kiba ,stanley , na 2face wapo label moja (rockstar 4000) ndo mda mwingine nashangaa watu wanavyosema king kiba hana hela ya collabo wakati wasanii wengi wakubwa wapo chini ya (rockstar4000) ni rahisi kufanya nao collabo akiwemo fally ipupa sawa nifah peterchoka Th Name vuteni subra mambo mazuri hayataki haraka.
nikusaidie nn sasa??au unatafuta umaarufu huku soma ueleweDaaaah!
Mkuu una hatari, huu uongo ni wa kimataifa, mbona unawadanganya sana wenzio???.....Yemi Alade yupo HKN😀😀😀
...duuh!....umewakamata kweli, halafu na wenyew wanakupa likes tu!
Hahahahaaaaaa😀😀😀😱😱😱