nikusaidie nn sasa??au unatafuta umaarufu huku soma uelewe
nikusaidie nn sasa??au unatafuta umaarufu huku soma uelewe
Siku nyingi sanaa, basinkama sio wewe yule alikua Abou Saydou
Ivi sasa si angetumia fursa iyo..sasa ivi utasikia domo ana collabo na fally atatoboa africa ya kati tumebungaa tu
Ms.Lincoln ukimya wa kiba unatokana na management yake inayomsimamia kazi zake so yeye anafuata wanavyotaka rockstar 4000 wale sio waswahili ndo kinacho mcost ali kiba
ila we subiri hata mi mwenyewe sipendezwi na hivyo anavyofanya kiba mana ye mpake kitu kikamilike ndo anaanza promo
#ms .lincoln kiba anajua nini anafanya so vuta subira
Ms.Lincoln tatizo la kiba hapendi kuweka vitu wazi kwa mfano 1.collabo ya saut sol wao ndo wamewajulisha watu kama wana collabo na kiba ila kiba hajapost hiyo
2.collabo ya davido kama sio davido kuvujisha siri kuwa ana collabo na kiba tusingejua hadi ingetoka
3.collabo ya bella yeye christian bella ndo aliwajulisha watu kuwa ana collabo na kiba ila kiba ye alipost baada ya bella kuvujisha siri
Note: ali kiba ana project nyingi anafanya ila kwa siri kuna siku utaniamini na kuna wakati anaenda kufanya show bila kupost kwenye mitandao ya kijamii ye anaangalia maslahi sio sifa
Ms.Lincoln ukimya wa kiba unatokana na management yake inayomsimamia kazi zake so yeye anafuata wanavyotaka rockstar 4000 wale sio waswahili ndo kinacho mcost ali kiba
ila we subiri hata mi mwenyewe sipendezwi na hivyo anavyofanya kiba mana ye mpake kitu kikamilike ndo anaanza promo
#ms .lincoln kiba anajua nini anafanya so vuta subira
Ukweli n kuwa kiba katika library yke hadi sasa Ana nyimbo moja tu na Bella tena wimbo wenywe haujakamilika hadi sasa ivi huo ndo ukweli Hana nyimbo nyingine yoyote aliofanya
I beg to differ,
Ivi mwaka mmoja unatakiwa utoe nyimbo ngapi?
Hakuna idadi, bali unatakiwa usikauke masikioni mwa wasikilizaji wako,
Sio kutokauka masikioni tu bali hata machoni pao,
Kwa ubora na radha tofauti tofauti za nyimbo.
Ila kiba anazingua sometimes mwaka unaishia jamaa katoa wimbo 1 tu, unajua sometimes hata nguvu za kumtetea zinaisha, mimi hata hizo collabo za bella na saut sol mi sina hamu nazo, kwani sion zikimpeleka king mbali, colabo inatakiwa afanye na watu wa nje ya east Africa sababu huku east tayar ana jina kinachotakiwa ni kulibrand juna lake sehem zingine.
Siku nyingi sanaa, basinkama sio wewe yule alikua Abou Saydou
Ivi sasa si angetumia fursa iyo..sasa ivi utasikia domo ana collabo na fally atatoboa africa ya kati tumebungaa tu
Ila kiba anazingua sometimes mwaka unaishia jamaa katoa wimbo 1 tu, unajua sometimes hata nguvu za kumtetea zinaisha, mimi hata hizo collabo za bella na saut sol mi sina hamu nazo, kwani sion zikimpeleka king mbali, colabo inatakiwa afanye na watu wa nje ya east Africa sababu huku east tayar ana jina kinachotakiwa ni kulibrand juna lake sehem zingine.
Ms.Lincoln tatizo la kiba hapendi kuweka vitu wazi kwa mfano 1.collabo ya saut sol wao ndo wamewajulisha watu kama wana collabo na kiba ila kiba hajapost hiyo
2.collabo ya davido kama sio davido kuvujisha siri kuwa ana collabo na kiba tusingejua hadi ingetoka
3.collabo ya bella yeye christian bella ndo aliwajulisha watu kuwa ana collabo na kiba ila kiba ye alipost baada ya bella kuvujisha siri
Note: ali kiba ana project nyingi anafanya ila kwa siri kuna siku utaniamini na kuna wakati anaenda kufanya show bila kupost kwenye mitandao ya kijamii ye anaangalia maslahi sio sifa
Collabo ya Bella si waliiomba mashabiki insta kule
Baada ya show yao iliyofanywa escape one
Mashabiki wakaanza kuwaomba waimbe pamoja so tulijua kua itatokea bila hata kuambiwa na Bella .
Kuhusu Davido mpaka dakika davido anahojiwa na ayo ,Kiba alikua hajui chochote kuhusu davido kutaka kuimba nae
Kwan huo wimbo n kiba ft Bella au Bella ft kiba pwilo unisadie n we Mr infor.
Sure mkuu Mimi Sina team ila nasupport msanii anayefanya "movements" kiba Ana fanbase kubwa sana inabidi watu wake wa ndani wamshahuri hichi kitu ili atoboe and its easy. Ili tatizo lipo kwa wasanii kama Rich Mavoko na kina Ben Pol.
According to sauti Sol
Wimbo ni wao Kiba kapewa shavu tu
Ila jamaa.....
Sasa siungemrekebisha kuwa amehama kwani no lazma mwanamziki kukaa sehemu moja tu bila kuhama. Kwanza hzo label Hi minor issue huku focus ni kiba basiDaaaah!
Mkuu una hatari, huu uongo ni wa kimataifa, mbona unawadanganya sana wenzio???.....Yemi Alade yupo HKNπππ
...duuh!....umewakamata kweli, halafu na wenyew wanakupa likes tu!
Hahahahaaaaaaππππ±π±π±