Nipo fresh lol kiba hb jaman
#dadabeseni umebadili avatar duuh umeweka ya baby nini
Wewe acha tu, juzi kuna mtu aliandika utumbo nikamchana basi nashangaa comment yangu ikafutwa.
Hili jukwaa la maselebu naona wanataka hao maselebu ndio wawe wanashiriki sisi tukae kimya.
thats good. hahahaha umedata eeh?
Leo sipo kibattle nasherehea mzee wa maamuzi magumu. Avatar hyo ni dogo anaitwa Silento I recommnd u to go youtube en chek hz video you gonna lov it. Silento - Watch Me
Utanipa "feedback"
Mzee wa maamuzi magumu ni nani?
Uko nchi gani ww. Lowassa
Kumbe unamaanisha jembe lowasa.
Nimefurahi sana lowasa kuja ukawa.
Tunaweza tukabeba nchi nipewe hata ukuu wa mkoa au wilaya.
Hahaha safi ila hapo kwenye ukuu wa wilaya au mkoa mh" umejiandikisha lkn?
Moyo wangu nyang'anyang'a.
Natamani aniimbie "ama ni maji ya blue light sema nini unataka...nikugeuze princess sema nini unataka ee" duuh hahahaaa
Wee nakosaje sasa.
MTANZANIA NI ZAMU YAKO 2015
Ile ilikua kitchen party iliyoenda shule. Hatutaki watu waharibikiwe kabisa. Nadhani kanyooka na kuinama juu.Kashika adabu leo lol sio kwa colabo mlio mpa na nifah
Safi sana maa dia kumbe umeshapata kichinjio tayari good good mwaka uu ni wa mabadiliko tu.Wee nakosaje sasa.
MTANZANIA NI ZAMU YAKO 2015
Yani kuna siku tulipigwa ban kisa tuliuliza kwanini comments zinafutwa. Pole sana mi ndo mana nakupendaga siasani na MMU hamna uu ujiñga.Nimechoka kwakweli maana comments zangu zinafutwa kila wakati.
Huko siasani nadhani watanipumzisha.
Ile ilikua kitchen party iliyoenda shule. Hatutaki watu waharibikiwe kabisa. Nadhani kanyooka na kuinama juu.
Hahaààaaà majungu wayajue wewe hasidi mana hujatajwa acha kujishuku chezeiya kitchen party weweAcha majungu basi
Wee nakosaje sasa.
MTANZANIA NI ZAMU YAKO 2015
mpera mpera mpaka kieleweke.Safi mkuu, mwaka huu lazima kieleweke.
Ili uone nini?Geuza kitambulisho plz
Safi sana maa dia kumbe umeshapata kichinjio tayari good good mwaka uu ni wa mabadiliko tu.