kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
Umeshaipata au bado?Naomba namba ya alikiiba...kwa mwenye nayo..i will make him rich..
Sasa hivi tumeungana tunaongelea mambo ya maana zaidi, huu upinzani wetu wa jadi tumeuweka kando kidogo hadi November.Habarini, ninamuda sijapita humu nipo kwenye siasa. Nashukuru kuona kuna amani na utulivu sasa. Ni imani yangu sasa watu wamenyooka na tunazungumzia umoja zaidi kama nchi.
Kila la heri, tukumbuke kujiandikisha ili tupate kichinjio cha Octoba 25.
Sasa hivi tumeungana tunaongelea mambo ya maana zaidi, huu upinzani wetu wa jadi tumeuweka kando kidogo hadi November.
sasa hivi ni lowasa kwanza, huku tunapita mara mojamoja, tukutane october 25
Ndio tuungane kiukweli sasa, maendeleo yataletwa na sisi. ..Upo sahihi Nifah. Tukifanya mzaha tutalipeleka Taifa letu pabaya.
Ndio tuungane kiukweli sasa, maendeleo yataletwa na sisi. ..
Tujitahidi kuhamasisha na wenzetu/wazazi wetu.
Mengine baadae.....Lowasaa kwanza..
mkuu sumbai upo??Lowasaa kwanza..
Mengine baadae.....
si huyo raisi wenu wa wasafi kawatibua wakenya leo
Wanamtukana wapi? Instagram au? Maana nimetoka huko naona kapost picha yupo Kenya.si huyo raisi wenu wa wasafi kawatibua wakenya leo
Jamani mmeiona Churchill Show ya King Kiba huko YouTube?
O.M.G! Nimemvulia King kofia....ana sauti nzuri mnoooooo.
Dah, huyu mtu hana mpinzani kwakweli.
Hongera zako Kiba, Allah kakutunuku kipaji cha kipee, kitumie kutupa raha sisi mashabiki wako wa damu.