kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
Habarini, ninamuda sijapita humu nipo kwenye siasa. Nashukuru kuona kuna amani na utulivu sasa. Ni imani yangu sasa watu wamenyooka na tunazungumzia umoja zaidi kama nchi.
Kila la heri, tukumbuke kujiandikisha ili tupate kichinjio cha Octoba 25.
Kila la heri, tukumbuke kujiandikisha ili tupate kichinjio cha Octoba 25.