Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
borncool save your energyEvidence please!
Nampenda sana king mpaka Nanchanganyikiwa ..
Hunizidi mimi maana jana kidogo niingie aibu, nilikua sehemu ya heshima mara mwana ikapigwa...
Uwiiiiii! Nilidata kidogo ninyanyuke kwenye kiti niserebuke!
sipati picha fally angepita mule ingekuwaje
siyo 175m tu?more than that.....ally namjua mimi si wa katika media...nakupa homework!...ulizia ally alivyokuwa hasikiki kwenye media alikuwa anaishi maishi yapi?........ogopa sana damu za watoto wa ilala na kariakoo ambao kuna chocho flani walishazigusa!....ally tunamuona instagram na mafacebook kwakuwa imebidi tu ila siyo mitkasi yake yeye na hata wanae wa dhati.....hilo balaa lililofanyika juzi ambalo lilimlazimu aje bongo one time kutoka kenya kuvuta hizo million 20s nna hakika wangekuwa watu wa perepete hao wanae, mzizima ingesimama!ila watu kimyakimya kama hakijatokea kituSasa Kama Ana izo 175 million mbona bado yeye na familia yao inalelewa na sugar mummy ambae yupo uingereza katika basic needs
Natumaini hatumi madawa ya kulevya
Si wa swaga hzo huyo ww
Mlisema hatumi kilevi wala bangi hapo vipi
Anaenda wapi @avemaria tena