Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
I know bou that madame....ila ndio hivyo tena kaamua kutuacha.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I know bou that madame....ila ndio hivyo tena kaamua kutuacha.
Huu uzi umekuwa mchungu kwangu zaidi ya shubiri....
Pia nikifikiria machungu niliyoyapata baada ya dada yangu kipenzi #Avemaria kunitumia pm ya kuniaga nazidi kuuchukia huu uzi!
Tukutane November huko labda.
Duuuh nimejikuta nasikia huzuni.
Be strong mamy..
Kwani ni nini kimempata?
Duuuh nimejikuta nasikia huzuni.
Be strong mamy..
Kwani ni nini kimempata?
So kaamua kuachana na jf
Karibuni wasafi classic baby
Kwa KING OF AFROPOP DIAMOND PLATNUMZ
No stress
✌
Sababu kubwa nahisi ni kufutiwa comments zake maana alishanilalamikia sana nikamuomba ajikaze lakini naona imekuwa too much hadi akaona bora ajiondokee zake.
Nasema nahisi sababu wakati ananitumia hiyo PM ya kuniaga mimi nilikuwa sipo JF almost 2 weeks.
Asante sana cute b,hakika inauma sana.
Ww ngoja niwaite tcraMiddle finger.
Middle finger.
Yeah....
Huyo itakua kaolewa halafu mume wake kamwambia asitumie social networks#assumption hiyo [emoji2] [emoji2] [emoji2]Duuu pole sana mpnz na mimi nimeumia duuuuh.
One day yec
Duuu pole sana mpnz na mimi nimeumia duuuuh.
One day yec
Huyo itakua kaolewa halafu mume wake kamwambia asitumie social networks#assumption hiyo [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nilidhani kabadili id tu!!
Sasa si kuna uzi unao husu hii kitu hapa sio mahala pakeDuh! Tumeibiwa!
Ww ngoja niwaite tcra
Huwa unanikosha
Kiukweli mods wanakera sana,kama mimi wamenifutia comment yangu niliyoponda utafiti wa TWAWEZA.
Kama sio nina mambo yangu mengi humu ningeihama JF tu na mimi maana sio baba wala mama yangu!