Ndo mana mi sitak kuonana na mtu,kwa jinsi nilivyo mtu si mtu nyani si nyani yani utakuja kunichamba humu mpaka basi.
Jaman samsun....mimi tuonane bhanaa
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mana mi sitak kuonana na mtu,kwa jinsi nilivyo mtu si mtu nyani si nyani yani utakuja kunichamba humu mpaka basi.
Ha ha haaa....muulize kama hana matege.
Mimi sitaki kumsemea sana. Ila kama hana matege abishe
Aaaaaaah cute b nimekumis mpaka naumwa yani
CUTE b sitaki nikufanye mtoto wa watu uweweseke usiku kucha usingizi hauta upata kwa kujiuliza hivi yule ni mtu,kinyago,katuni,kibwengo,kinyamkela au sokwe, yaani nisingekuwa na vijisenti hapa town ningeteseka sana.
Mmeamua kutongozana sasa baada ya kunyooshwa
Tangu nilivyoona una matege nilisha stafu kubishana na wew maana ni mara chache ukute mtu ana matege halafu ana akili nzuriii....kwa heriii.
Huna hadhi kabishane na mazezeta wenzako.
Mategeeeeeeeeee
Heeeeee!!king kiba alkua anajsifia mbele ya raic kwamba yy anajua mpira coz ana matege ile cku ya raic na wasaniii.. Kumbe matege=zezeta?kwahyo king kiba=..........!?
Mategeeeee.....
Ndo mana mi sitak kuonana na mtu,kwa jinsi nilivyo mtu si mtu nyani si nyani yani utakuja kunichamba humu mpaka basi.
Wewe nawe hufikirii...matege ya mpira ni tofauti na miguu yote ya kushoto...
Huyu ninayemzungumzia miguu yote ni ya kushoto imekutana hapa kwenye magoti..
Wewe nawe hufikirii...matege ya mpira ni tofauti na miguu yote ya kushoto...
Huyu ninayemzungumzia miguu yote ni ya kushoto imekutana hapa kwenye magoti..
Kumbe mtu mwenyewe ana matege? Sasa how dare anamtamani Jokate?
Mhuuuu!
Ndio maana huishi kuyasifu maumbile ya diamond.
Heeeeh! Kumbe,bac kaz ya mungu haina makosa
Ms.Lincoln wapi nimeyasifia maumbile ya DIAMOND????????? na kama unayaingizia yale ya kidoti MIMI NIMEMKARIRI YEYE MWENYEWE AKIMSIFIA THABITI KUWA NDO MWANAUME ALIYEMRIDHISHA.Mhuuuu!
Ndio maana huishi kuyasifu maumbile ya diamond.