Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Inaumaaa ile tuzo ya best male east Africa 😉
 

Attachments

  • 1444558369034.jpg
    1444558369034.jpg
    55.9 KB · Views: 130
poleni kwa makwenzi matatu team kiba hasa lile tulilowakong'oa kwa kuweka kichwa chenu katikati ya magoti na kuwakong'olea pete ya chuma (best east African )
 
Ndio maana una matege.... ha ha ha miguu yote ya kushoto unatembea kama unarudii...
Katibu hayo matege ndio uje ulete kimbele mbele hapa....umbea umekuzidi ndio maana ukaota tege

1.Elimu
2.Elimu
3.Elimu
 
1.Elimu
2.Elimu
3.Elimu

Kuna ma docta wamekuja tz wanatibu miguu iliyogeukiana ha ha haaaaaaaaaaa hakyananiii duuuuuuuuuhhhhhhhh bora hata sheria za jf zinabana ningekuweka hapa...
Tehe tehe MATEGEEEEE
 
Kuna ma docta wamekuja tz wanatibu miguu iliyogeukiana ha ha haaaaaaaaaaa hakyananiii duuuuuuuuuhhhhhhhh bora hata sheria za jf zinabana ningekuweka hapa...
Tehe tehe MATEGEEEEE

1. Elimu
2. Elimu
3. Elimu
 
1. Elimu
2. Elimu
3. Elimu

Tangu nilivyoona una matege nilisha stafu kubishana na wew maana ni mara chache ukute mtu ana matege halafu ana akili nzuriii....kwa heriii.
Huna hadhi kabishane na mazezeta wenzako.
Mategeeeeeeeeee
 
Tangu nilivyoona una matege nilisha stafu kubishana na wew maana ni mara chache ukute mtu ana matege halafu ana akili nzuriii....kwa heriii.
Huna hadhi kabishane na mazezeta wenzako.
Mategeeeeeeeeee

Mnyoosho
 

Attachments

  • 1444566741626.jpg
    1444566741626.jpg
    50 KB · Views: 102



Tangu nilivyoona una matege nilisha stafu kubishana na wew maana ni mara chache ukute mtu ana matege halafu ana akili nzuriii....kwa heriii.
Huna hadhi kabishane na mazezeta wenzako.
Mategeeeeeeeeee
 
Tangu nilivyoona una matege nilisha stafu kubishana na wew maana ni mara chache ukute mtu ana matege halafu ana akili nzuriii....kwa heriii.
Huna hadhi kabishane na mazezeta wenzako.
Mategeeeeeeeeee
CUTEb kwani mulishawahi kuonana au?????????????
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaa....muulize kama hana matege.
Mimi sitaki kumsemea sana. Ila kama hana matege abishe
Ndo mana mi sitak kuonana na mtu,kwa jinsi nilivyo mtu si mtu nyani si nyani yani utakuja kunichamba humu mpaka basi.
 
Back
Top Bottom