go to sleep little baby
timu bora n magoli cku zote,mtu hajawah kuwa nominees katka tuzo zozote zaid ya kill mtasemaje n king.
naikumbuka rkely alivyokua anamsifia kibakwa sauti nzuri
mkumbushe akojoe kwanza maana acjeleta lile balaa tutamzungusha mtaa mzima tukiimba kikooo......zii na nguo tutazitia motoo
Ha ha ha ha uwiiii shostii ni shiiider tupu chezea proposal we ye akiacha swaga za kibabu labda il a sijui
Mhuuu!!yani mie mwenyewe naitamaniiii...hata Chinga anaitamani we utamwona tu
Hela ya ualimu chinga anunue bundle ya mwezi!!thubutu yake mwenyewe boxer ikamberebete huko..
Hahahaaaa jamani nikisikia kuhusu chinga nachekaje kama chizi?uwiiiiii
Uwiiiii chinga sidhani kama atakatiza hapa tena
daah nilikua nafatilia mjadala wenu kuhusu Chinga One ha ha ha nimecheka sana aisee......basi niiteni babu chinga.
Wapenzi wa Kiba naomba nitowe Complimentary ya vocha/bundle ya Mtandao wowote kwa Fans wa Kiba atakayebahatika kupost page ya 100, maana tuko page ya 82 sasa.
Pendekezeni hiyo vocha/bundle ya thamani gani na Member wa kumpa akabidhi hiyo complimentary kwa uthibitisho kwamba hapa hakuna Fans wa porojo.
Comment za kupendekeza zisizidi 3.
Ilivyotoka mwana Dar es salaam kuna wapambe walikuwa sitting room wakati nassib yupo room na madam wao ila kwakuwa ngoma ya mwana ni kali wale wana sebuleni walishindwa kujizuia kumsikiliza kiba. .dah!nassib full kumind na kuwaita masnitch. ....
Hivi waona fahari kutumia picha ya mwanaume mwenzio?What does it mean????Kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiii au ndo mambo ya pwani nn??Wacha maneno yako wewe mi sio Muuza Sura.