Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

tunaona chenga nyng tuuu,magol badooo.mwambien atoe kchupa japo kama cha nenda kamwambie il japo nae awe tena kwenye tuzo za kill
 
Kiba anazidisha ukimya mwenzake katoa wimbo na video mpya sasa hivi diamond anakimbiza kiba hata akitoa video ya mwana kashachelewa,heri tu atoe wimbo mpya
 
mkumbushe akojoe kwanza maana acjeleta lile balaa tutamzungusha mtaa mzima tukiimba kikooo......zii na nguo tutazitia motoo

kindumbwendumbwe chaliaaa....!!!
mabishano ya kijinga wanapenda
 
Ha ha ha ha uwiiii shostii ni shiiider tupu chezea proposal we ye akiacha swaga za kibabu labda il a sijui

daah nilikua nafatilia mjadala wenu kuhusu Chinga One ha ha ha nimecheka sana aisee......basi niiteni babu chinga.
 
Last edited by a moderator:
jaman malumbano ya nini? muziki huu wa bongo ni watanzania na wasanii ni wa kwetu pia.. tukiendeleza siasa namna hii hatujengi, tutabaki hapahapa tulipo.. kuna wasanii wengi sana wazuri tanzania bado wanahitaji attention na support yetu, mbona wenzetu nigeria wanapeana tafu bila kuweka pande mbili tofauti? marekani pia? if kiba hajatoa video mpaka leo hilo ni la menejimenti yake tuwaachie hao, na diamond nae katoa wimbo mpya tuusuport pia na tukumbuke hili wiki barnaba na vanessa wametoa wimbo wa siri, young killer ft. fid q, songa, na wengine..... tuupende mziki wetu na tupendane sisi kwa sisi na tukumbuke media ni kitu kimoja chenye nguvu sana tusitumie vibaya..
 
La mgambo la mgambooo!!Kuna kikojozi mtaa wa jirani jamani tumfunge churaaa!!kamwongelea Kibaa wee mpaka kasinzia bila kukojooa,kaamka chepechepe!!Kikojooozi na nguo tumchome motooo!Mkojo Mzuriii mbayaaa!!!Jamani wa mtaa wa pili acheni kukomalia ngoma isio wahusu hata mjipitisheje hapa na mwendo wenu wa bata hampati bundle ngo'oo,mnafurahiwa kutajwa,wanatajwa marehemu sembuse nyie!!
 
Ilivyotoka mwana Dar es salaam kuna wapambe walikuwa sitting room wakati nassib yupo room na madam wao ila kwakuwa ngoma ya mwana ni kali wale wana sebuleni walishindwa kujizuia kumsikiliza kiba. .dah!nassib full kumind na kuwaita masnitch. ....
 
Wapenzi wa Kiba naomba nitowe Complimentary ya vocha/bundle ya Mtandao wowote kwa Fans wa Kiba atakayebahatika kupost page ya 100, maana tuko page ya 82 sasa.

Pendekezeni hiyo vocha/bundle ya thamani gani na Member wa kumpa akabidhi hiyo complimentary kwa uthibitisho kwamba hapa hakuna Fans wa porojo.

Comment za kupendekeza zisizidi 3.

Heshima kwako mkuu!Hii zawadi wapewe mashabiki huru kama mimi......wale wa mahaba niue kupost tu ni zawadi tosha!Sio kwamba najifagilia,uwezo ninao ,nia ninayo pia nguvu ninayo!Tumuombe Mungu uzima hakika hii zawadi yangu aiseee...................ha ha ha haaaaaaa!
 
Ilivyotoka mwana Dar es salaam kuna wapambe walikuwa sitting room wakati nassib yupo room na madam wao ila kwakuwa ngoma ya mwana ni kali wale wana sebuleni walishindwa kujizuia kumsikiliza kiba. .dah!nassib full kumind na kuwaita masnitch. ....

Mkuu wakisikia hiyo kauli yako nyumba ya jirani wataghafirika ghafla, tena imetoka kwako kwa mtu kama wewe ambaye unaijua industry vizuri tena kinaga ubaga.
 
Back
Top Bottom