Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heeee taratibu mama,nimesema sura ya upole...suala la kubemenda linakujaje???
Anyways...mimi ni mtu na ndoa yangu sina time na Kiba wala mwanaume yeyote yule zaidi ya mume wangu...upo???usidhani ushabiki wangu kwa Kiba ni wa kimapenzi...akaaah
haaa??? kumbe umeolewa?? alafu unamlegezea sauti kiba hivihivi tena hadharani??? niitieni mume wa nifah jamani apite hapaaa, lazima leo mtu apewe ban ya ndoa, uuuuuwiii, i cant went, embu soma tena ile post yako, eti unaanzaje kumchukia kiba jamani?? AKIKUANGALIA NA ILE SURA YAKE YA UPOLEE, yaani hapo pa AKIKUANGALIA kama nakuona na macho ulivyolegeza, uuwii uuwii uwiii mume wa nifah pita hapa umulike mwizi meeeen kiba will ruin your marrage soon.
haaa??? kumbe umeolewa?? alafu unamlegezea sauti kiba hivihivi tena hadharani??? niitieni mume wa nifah jamani apite hapaaa, lazima leo mtu apewe ban ya ndoa, uuuuuwiii, i cant went, embu soma tena ile post yako, eti unaanzaje kumchukia kiba jamani?? AKIKUANGALIA NA ILE SURA YAKE YA UPOLEE, yaani hapo pa AKIKUANGALIA kama nakuona na macho ulivyolegeza, uuwii uuwii uwiii mume wa nifah pita hapa umulike mwizi meeeen kiba will ruin your marrage soon.
haaa??? kumbe umeolewa?? alafu unamlegezea sauti kiba hivihivi tena hadharani??? niitieni mume wa nifah jamani apite hapaaa, lazima leo mtu apewe ban ya ndoa, uuuuuwiii, i cant went, embu soma tena ile post yako, eti unaanzaje kumchukia kiba jamani?? AKIKUANGALIA NA ILE SURA YAKE YA UPOLEE, yaani hapo pa AKIKUANGALIA kama nakuona na macho ulivyolegeza, uuwii uuwii uwiii mume wa nifah pita hapa umulike mwizi meeeen kiba will ruin your marrage soon.
Jifunze kuandika kwanza
Marrage= Marriage.
let it go turudi kwenye kupiga madebe mwaya, umesema kiba anasura ya upole embu tufafanulie sura yake ya upole inahusika vipi na mziki sasa au unamaanisha tumuonee huruma sijaielewa point yako hapa.Hahahaaaaaa nimechekaje sasa???
Sura ya upole ni nini hasa jamani hadi ikuume hivyo kidogo ikutoe roho???mbona baba yangu pia anayo?
Alafu huyo Kiba usidhani namshobokea hata kidogo mama...mara kibao naonana naye coco beach wala simsemeshi...
Hahahaaaa uwiiiiii,Kiba ana nini hasa kumzidi hubby angu???poleee bibi
let it go turudi kwenye kupiga madebe mwaya, umesema kiba anasura ya upole embu tufafanulie sura yake ya upole inahusika vipi na mziki sasa au unamaanisha tumuonee huruma sijaielewa point yako hapa.
Hhhhhhaaaaa
jichekee zako mwaya, maana humu ndani kuna watu wanasubiri kiba ahit wambemende wanadhani nae atavuta mkwanza mrefu kama mondi kirahisi rahisi tuu, wanunuliwe murano.
Hahahaaaaaa nimechekaje sasa???
Sura ya upole ni nini hasa jamani hadi ikuume hivyo kidogo ikutoe roho???mbona baba yangu pia anayo?
Alafu huyo Kiba usidhani namshobokea hata kidogo mama...mara kibao naonana naye coco beach wala simsemeshi...
Hahahaaaa uwiiiiii,Kiba ana nini hasa kumzidi hubby angu???poleee bibi
Hahahaaaa ana nyota hiyo sasa???anataka umpende yeye!!
duuuh!!! vya hivyo tena?? nijikute nimependwa na KE mwenzangu, nitatokaje ndukiiiiiianataka umpende yeye!!
. Achana naye,anataka kukutoa kwenye mada ya msingi!anataka kikiHahahaaaa ana nyota hiyo sasa???
Awaache watu wenye nyota zao bwana...
duuuh!!! vya hivyo tena?? nijikute nimependwa na KE mwenzangu, nitatokaje ndukiiiiii
. Achana naye,anataka kukutoa kwenye mada ya msingi!anataka kiki
. Achana naye,anataka kukutoa kwenye mada ya msingi!anataka kiki
Usijali mamii,niko imara nalitambua hilo...kama nimeweza kumpotezea yule babu mwenye mdomo kama feri huyu hanipi shida