Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Lazima mjeee!Mtakuja tuuu...araaah!

Kama kwao kumedoda unadhani watafanyaje? Isitoshe huku ndo penye burudani coz kumsifu Kiba wala haihitaji uwe muongo maana ni kweli Kiba ni mkali na ana wimbo mkali unaendelea kutesa redioni.
Na waje tu watatukuta.
Ova
 
Wanaitana huku bila kujua ni mvuto wa Kiba ndo unaowavuta bila wao kujielewa...!'Gusa unate,hapa panaitwa MTAKUJA!

Ndicho kinachowaleta hapa....hahahaaa wanakasirikaje sasa tulivyowapotezea kule?uwiiii wanatamani hata wai hack id yangu wakakomment nayo kule
 
Kama kwao kumedoda unadhani watafanyaje? Isitoshe huku ndo penye burudani coz kumsifu Kiba wala haihitaji uwe muongo maana ni kweli Kiba ni mkali na ana wimbo mkali unaendelea kutesa redioni.
Na waje tu watatukuta.
Ova

Hahahaaaaa wewe jamaa ni sheeedah mazee
 
Ujue Matola huyo jamaa muanzilishi wa thread ya mtaa wa pili namuonaga ana swaga flani hivi za kizee ndio maana hua sitaki kubishana nae kabisa....heshma kwa wazee ipewe kipaumbele jamani

Mtu mwenyewe anajiita Chinga unatarajia nini?
 
Last edited by a moderator:
Wapenzi wa Kiba naomba nitowe Complimentary ya vocha/bundle ya Mtandao wowote kwa Fans wa Kiba atakayebahatika kupost page ya 100, maana tuko page ya 82 sasa.

Pendekezeni hiyo vocha/bundle ya thamani gani na Member wa kumpa akabidhi hiyo complimentary kwa uthibitisho kwamba hapa hakuna Fans wa porojo.

Comment za kupendekeza zisizidi 3.
 
Wapenzi wa Kiba naomba nitowe Complimentary ya vocha/bundle ya Mtandao wowote kwa Fans wa Kiba atakayebahatika kupost page ya 100, maana tuko page ya 82 sasa.

Pendekezeni hiyo vocha/bundle ya thamani gani na Member wa kumpa akabidhi hiyo complimentary kwa uthibitisho kwamba hapa hakuna Fans wa porojo.

Comment za kupendekeza zisizidi 3.

Bundle ile ya matumizi ya mwezi mzima full kupiga ,full internet downloading and full meseji
 
Ujue Matola huyo jamaa muanzilishi wa thread ya mtaa wa pili namuonaga ana swaga flani hivi za kizee ndio maana hua sitaki kubishana nae kabisa....heshma kwa wazee ipewe kipaumbele jamani

wamakonde nnawajaua mie binamu nimekaa nao miaka mitatu
 
Last edited by a moderator:
kuna tetesi dimond dimond na bikra wake wa kisukuma wana toa rushwa kwenye mitandao ya kijamii kumpaisha domo lakini watakwAma si hatulipwi ni mapenzi kwa kitu kizuri ambacho hakipendi sifa za kijinga.eti mpaka akaloge au ahonge media ndio ajulikane.kiba 4 real.ndio kiboko yao

watachemka wenyewe
 
Mwendokasi wa uzi huu ni balaa maana imeizidi hata hiyo mwendokasi wa mwanga, nasikia majirani uzi wao mwendo kasi wao upo chini mwendokasi wa sauti.
 
Wapenzi wa Kiba naomba nitowe Complimentary ya vocha/bundle ya Mtandao wowote kwa Fans wa Kiba atakayebahatika kupost page ya 100, maana tuko page ya 82 sasa.

Pendekezeni hiyo vocha/bundle ya thamani gani na Member wa kumpa akabidhi hiyo complimentary kwa uthibitisho kwamba hapa hakuna Fans wa porojo.

Comment za kupendekeza zisizidi 3.

hahaaa utafanya watu watafute ids mpya hapa waanze kumsifu kiba
 
hahaaa utafanya watu watafute ids mpya hapa waanze kumsifu kiba

Hahahaaaa gen una miakili wewe hadi nakupendaje sasa....uwiiiii hatutaki I'd mpya apewe,atapewa yeyote yule kati yetu tunaojuana hapa
 
Wapenzi wa Kiba naomba nitowe Complimentary ya vocha/bundle ya Mtandao wowote kwa Fans wa Kiba atakayebahatika kupost page ya 100, maana tuko page ya 82 sasa.

Pendekezeni hiyo vocha/bundle ya thamani gani na Member wa kumpa akabidhi hiyo complimentary kwa uthibitisho kwamba hapa hakuna Fans wa porojo.

Comment za kupendekeza zisizidi 3.

Jamani Matola sio wote tunaotumia PC mfano mimi natumia simu naona hii ni page ya 164 sasa nitajuaje ikifika huko kwenye 100?

Bundle ya mwezi mzima....can't imagine nikiwa mimi,hahahaa

Atakayeshinda ndio atachagua nani ampe...
 
Last edited by a moderator:
Mwendokasi wa uzi huu ni balaa maana imeizidi hata hiyo mwendokasi wa mwanga, nasikia majirani uzi wao mwendo kasi wao upo chini mwendokasi wa sauti.

Kumbe ndio maana wanatuchokoza ili tuende tukau boost?ngashtuka aisee
Na hivi ndomo katoa mataputapu yake lakini wapi?hivi siku Kiba akirelease video si patafurika hapa???
 
Back
Top Bottom