acha waboreke tu ila hawawezi kubadili ukweli, mie penda kiba miaka yoteeeee
Nampenda kiba shabiki wa damu(msaga sumu voice)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha waboreke tu ila hawawezi kubadili ukweli, mie penda kiba miaka yoteeeee
woyoooooooooooooooo
anathor relative from another another mother
karibuuuuuuuuuu my nduuuu
Nampenda kiba shabiki wa damu(msaga sumu voice)
mi ntalia jamani lllooooohhhh...!
yaani hata acpoimba mie kutaja jina lake tu fuuuul burudani
hahahahahaahahaaa familia ya wanaoishi kwa matumaini, of coz ndio kilichobakia
Yani hapa fulluuu kutoa stress mummy!!Ni raha ukiwa na good family kama hii!Wapi kaka Matola?!sure its really good mi pia naenjoy sana nkiingia jf cha kwanza humu
mnapoteza muda tu hapa hata mtukane vipi au mni-rate kwa viwango gani. Kwani Obama ni Mungu akifanya jambo ndio na wewe ufanye? poor thinking capacity
Thnx my ndugu yaani im xo happy kujumuika na hii familia ya amani&upendo isiyo kuwa na kashfa dharau wala majivuno
Yaani hapa nlipo nakaribia kupewa talaka kisa nampenda alikiba
Kariiibu home Ladatho!!Nimefurahi sana karibu katika familia bora,yenye malezi bora!!Ingawa najua watu itawauma mpaka wapate degedege la nafsi wanabaki kujipitisha tu hapa kama mbu!!kariiibuu
Karibu home long time no see!umejikaza wee ukaona bora uje kupumua na kujipa raha ya nafsi kwa kuwaongelesha masahbiki wa King!We are humbled u know kupata wageni mara kwa mara kutoka mtaa wa pili hapa ni mtakuja mummy!!
Atoto nilikuwa nachakarika kidogo u knw,nafurahi kuona leo umekua mlinzi wa zamu kama mie juzi the tehe the!!ulipotea sana mama, karibu tena na familia inaongezeka tuu, fuul raha na burudani
Atoto nilikuwa nachakarika kidogo u knw,nafurahi kuona leo umekua mlinzi wa zamu kama mie juzi the tehe the!!
Matola daily kinondoni,Masaki,posta na Upanga!mitaa ya Tandale kule hakatizi sijui y?mie mwenyewe namngoja siku awe karibu na kitaa nikutane na bwana pepsii!
Hilo nalo nenooo!!kwa misele huyu jamani hajambo, hebu kutana na kiba umfikishie salamu na ushauri