Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nani aliyemuiga mwenzie?Angalia ni nani wa kwanza kucomment
ooh!! nilikuwa nacomment net ikwa inanizingua thats y
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani aliyemuiga mwenzie?Angalia ni nani wa kwanza kucomment
Kweli kabisa,arrgh ndio maana sijamtaja geniveros sio kwa sababu hajashiriki laah..
Ni kwa sababu alishashinda sasa natamani wengine pia wawe washindi hadi sote humu tuwe washindi...
Nikiwa humu wala siogopi, najua nina jeshi la kutosha hapa. Hahahahahaaa
Ova
Nikiwa humu wala siogopi, najua nina jeshi la kutosha hapa. Hahahahahaaa
Ova
ooh!! nilikuwa nacomment net ikwa inanizingua thats y
mi ni ngumu kushiriki kwa sababu zifuatazo:
december ntakua kanda ya ziwa sikukuuu
nna mtoto mdogo
Hahahaa,hakuna wa kukugusa as long as am here.
Hahahaahaaaa asante, hadi naombea waniguse waone moto wake.
Ova
Hahahaahaaaa asante, hadi naombea waniguse waone moto wake.
Ova
Hahahaaa haka katoto katundu sana
Nikiwa humu wala siogopi, najua nina jeshi la kutosha hapa. Hahahahahaaa
Ova
Hahahaa,hakuna wa kukugusa as long as am here.
Asante, mimi nampendekeza Matola kwa wakiume na wa kike nifah na atoto, ila dah ni kazi ngumu kuchagua coz watu wanapiga mzigo humu balaa, hadi kuacha kuwataja najishtukia, yaani wadada karibu wote wakiingia humu lazima waache alama.
Na wa kiume nao acha kabisa, ndio maana huu uzi una view nyingi sana utadhani wa Siasa, kwa maana watu wanakuja humu kutusoma tu, kisha wanaondoka kimya kimya kwa aibu, yaani mkiniacha huru mimi nitasema wote wanastahili kutwaa tuzo hii.
Ova
mie hataaa ctakutetea, nitakuwa mbaali naangalia ligi, hahaaaa
waungwana niko ESCROW
Hahahahaaa... Kisa?
Ova