Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Karibu juice,umerudi tena!!Lazima urudi,kwa kuwa unajua Kiba ndo Kiboko ya ndomo y hukuenda kupost kwenye uzi wa bycer au Rich mavoko au Msodoki?Kiba ni mwalimu inabaki ivo,izo shobo nyingine ni kawaida sana

Jamaniii tuna tuzo ya tatu hhhhhhaaaaaaaa ni taarifa tu
 
Mmmmh disco limeingia mmasai acha wastaarabu tukae pembeni kwanza maana watt wa tandale kwa fujo+kukaba+matusi ndo zao. Nguruwe pitaaaaaaa>>>>>>> cna mshale mie.
 
Mlinzi wa zamu mzigoni na juice mkononiii,Kiba oyeee!!Tuzo mpate lakini bado anawakereta rohoni woireee,...anawawasha washa akilini kwenu coz ni tishio kwenuuu!
 
Dai kapata tuzo,la ajabu kitu gani!!Kwani yeye ndo msanii wa kwanza duniani kupata tuzo??

Heheeee ya tatu jamanu mkilazwa mseme tu hatuna roho mbayaaa tutawaletea juice ya limao na ndimu na pilipili kwa mbaliiiiiiiiii
 
Sasa la ajabu lipi!?kwani yeye ndo wa kwanza Afrika mashariki kupokea tuzo?Msanii kupata tuzo ni tarajio yakinifu sio miujiza,mlitegemea apate nini?Ila ukweli unabaki pale pale shoga Kiba anawakosesha rahaaa!!

Kiba levo za best naso kwi kwiii mnamuaibisha Dai kiroho safiiii
 
Jaman humu mnapumua kweliii PAULA letee oksijen
 
Last edited by a moderator:
Just leave them mom ucjibishane nao wakichoka watanyamaza. Hapa ni kwatu wastaarabu xo twaendeleza utamaduni wetu.
Aaah!!Yani mtu anakuchokonoa machoni unamtazama tuu!!Kisa ustaarabu,wee tukikaa kimya sana tutavuliwa mpaka chupi looh!!
 
Mlinzi wa zamu mzigoni na juice mkononiii,Kiba oyeee!!Tuzo mpate lakini bado anawakereta rohoni woireee,...anawawasha washa akilini kwenu coz ni tishio kwenuuu!

Woyoooooooooooooo hivi kwani hakuna wasanii hapa tz zaid ya kiba??? Watu wanakereketwa jaman wanaacha kupikia waume zao kutwa kupiga domo kumuongelea kiba mmmmmh kaaaaaazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom