Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Haha hahaaaa,tena nasikia aliomba yeye (queen darling) ili Kiba amshike mkono mdogo wake ndomo!!!!

Masikini akipata makalio hulia mbwata(hili sio tusi ni msemo tu)
leo wamerandukaaa wanamtukana matusi yote wanasababisha hadi wasiopenda matusi waanze kuwatusi maana hata ngoma ikipigwa sn mwisho hupasuka, hebu mjitulize mfanye yenu mtuache na mwana wetu tusemezane nae na tuserebuke naye
 
wewe jiulize fiesta waliperform wasanii wangapi?? mbona wao hawahangaiki na huo uking wa kiba jamani?! kama hawapi homa nn sasa kuranduka na kupagawa kiasi hiki???

Haha hahaaa eti kuranduka....umenikumbusha mbali sana atoto
 
Last edited by a moderator:
yaani kwa mtindo huu mimi ndio nimezidi kumpenda Kiba jamani now nampendaaaaaaa mpaka naumwa jamani, yor my best,mkalist,mvocolist an mkubwest, huhuuuuuuu, rahaaa sana ukiwa na uelewa wa mambo
 
Masikini akipata makalio hulia mbwata(hili sio tusi ni msemo tu)
leo wamerandukaaa wanamtukana matusi yote wanasababisha hadi wasiopenda matusi waanze kuwatusi maana hata ngoma ikipigwa sn mwisho hupasuka, hebu mjitulize mfanye yenu mtuache na mwana wetu tusemezane nae na tuserebuke naye

Achana nao wale hawajielewi...kwa darasa alilotoa Mdakuzi wakirudi basi tena watakua sikio la kufa...
 
Last edited by a moderator:
yaani kwa mtindo huu mimi ndio nimezidi kumpenda Kiba jamani now nampendaaaaaaa mpaka naumwa jamani, yor my best,mkalist,mvocolist an mkubwest, huhuuuuuuu, rahaaa sana ukiwa na uelewa wa mambo

Bado saaaana naona hunifikii hata robo....uwiiiiii nampenda Kiba mpaka sijielewi
 
Asante wangu. Wanajazana ujinga tu, ndio maana hata uzi wao unakosa mvuto wa wageni kwani hakuna mtu anayeelewa muziki wao ni kejeli na matusi tu.
Ova

Kwakweli wana maneno ya shombo kukulia uswahili kume wa affect ujinga jinga ule hamna anayeweza kuwa support mitusi imewafanya waonekane hamnazo na hilo ndo tatizo linalo mucost hadi bosi wao kila sehemu lazima wamtaje Kiba na kashfa juu kwa Kiba watasubiri sana kwakweli na hizi haitaji boost za skendo
 
Kwakweli wana maneno ya shombo kukulia uswahili kume wa affect ujinga jinga ule hamna anayeweza kuwa support mitusi imewafanya waonekane hamnazo na hilo ndo tatizo linalo mucost hadi bosi wao kila sehemu lazima wamtaje Kiba na kashfa juu kwa Kiba watasubiri sana kwakweli na hizi haitaji boost za skendo

Msanii wao kagombana na producer karibu wote wa Bongo. Yaani ni familia ya washari shari tu.
Ova
 
Tatizo uswahili na ulimbukeni and lack of exposure inawasumbua sana kuanzia bosi wao mpaka fans

Kiukweli kabisa nauona mwisho wa huyo mtu wao. Wimbo wake wa mwisho umepwaya sana, pale nachukua video tu. Sasa video haiwezi kufanya muziki kuwa mkali. Kila producer haelewani naye atarekodi na nani?
Kaenda kurekodi Nigeria, producer kamfanya afunikwe na Iyanya, alichoimba yeye hakisikiki vizuri lakini Iyanya anasikika. Chameleon asham-block kwenye Instagram, twitter na Facebook kwa umbea wake.
Ova
 
Kiukweli kabisa nauona mwisho wa huyo mtu wao. Wimbo wake wa mwisho umepwaya sana, pale nachukua video tu. Sasa video haiwezi kufanya muziki kuwa mkali. Kila producer haelewani naye atarekodi na nani?
Kaenda kurekodi Nigeria, producer kamfanya afunikwe na Iyanya, alichoimba yeye hakisikiki vizuri lakini Iyanya anasikika. Chameleon asham-block kwenye Instagram, twitter na Facebook kwa umbea wake.
Ova

Heee hili nilikua silijui hili kuuhusu chameleon....
 
badala wakae wajitathmini wanakaa kuhangaika na kiba, bora unyimwe macho ila upewe akili yenye uelewa utafanya mambo makubwa sn kuwashinda wenye macho, wanahangaika na adui wasomjua kuchwaaa, mie nampenda Kiba hata km hajawahi kupata tuzo na nalijua hili na nina sababu zangu, cjaanza kumshabikia jana, soo kwangu Kiba is the best male artist tz
 
Mlikuwa wapiiii?Honey faith,brenda 18,Mdakuzi,Nifah,mmetuachia jaka lakini jeshi la Kiba matata sana,mtu mmoja kwa ndondocha mia!!Ilikua raha sana kubishana na wehu!!


nakupongeza kwa hilo, ila walaaa hakukuwa na sababu ya kuhangaika nao maana ukweli wanaujua ila wanajitoa ufahamu tu, Kibaaaaaaa kibaaaaaaa kibaaaaa kibaaaaaa
 
Back
Top Bottom