Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
Una penda sana izi mambo bidada
sanaaaaa ndo maana sipendi kufungamana na upande wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una penda sana izi mambo bidada
sanaaaaa ndo maana sipendi kufungamana na upande
Kweli zinachangamsha genge sasa tusipojibizana kutapoza na kubore napenda hivi hivi
hivi jamani hawa watu kwani ni wageni kwenu??? Mbona mnapata shida kujibizana nao!!! Camooon guys they are not worth it, life goes on, wasiwatoe kwenye njia jamani, kiba will always remain the best
nani hajui kusoma????
gooood night dearest
Mkali kiba yupo Cape Town. .kitu kizuri kinakuja. ..
tumuombee na yeye arudi na tuzo nyumban
alisema sana mama dunia tambara bovuu, kuna asali na shuuubiri
Mi niache nifute vumbi kwanza sijuii kiingereza mpaka nikachukue dictionary yangu kwa r kelly
Ameombwa sana afanye kichupa cha mwana ingawa alitaka aachie ngoma mpya na chupa jipya..so chupa la mwana kama kawa. .kwa mujibu wa mtu wa karibu zaidi amenambia kuna ngoma anataka kuirelease soon ni msiba hiyo ngoma jinsi kiba alivyopita. ..akitoa hiyo ngoma msishangae mtaa wa pili wakajisingizia hata uhanithi ili wapate kick kwenye media na wakapanic kutoa nyimbo mfululizo. ....kuna show watu wamempandia bei tatizo hawajafika anapotaka kiba!mchizi kiba hana papara yaani alivyorelax huwezi jua km kuna watu wamepanic ujio wake
Ama kweli ID nyingine zinaonyesha ni jinsi gani mtu alivyo mtupu kichwani...eti Mudawote!!!
Wewe ni nani hadi umuite Kiba mbwa?ina maana sisi na akili zetu tungepoteza muda kumjadili mbwa kweli?
Ok,kama ni mbwa kipi kilichokukereketa hadi umuulizie?tena ukome wewe ndiye mbwa,mbwa.