Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ameombwa sana afanye kichupa cha mwana ingawa alitaka aachie ngoma mpya na chupa jipya..so chupa la mwana kama kawa. .kwa mujibu wa mtu wa karibu zaidi amenambia kuna ngoma anataka kuirelease soon ni msiba hiyo ngoma jinsi kiba alivyopita. ..akitoa hiyo ngoma msishangae mtaa wa pili wakajisingizia hata uhanithi ili wapate kick kwenye media na wakapanic kutoa nyimbo mfululizo. ....kuna show watu wamempandia bei tatizo hawajafika anapotaka kiba!mchizi kiba hana papara yaani alivyorelax huwezi jua km kuna watu wamepanic ujio wake

Mimi hili wazo la kutoa ngoma mpya siliafiki sana, MWANA mbona bado inauza tu?
Ye aachie kichupa ndicho cha muhimu kwa sasa. Tena kichupa cha ukweli haswaa.....amini nakwambia ngoma ya MWANA itaunguruma upya as if ndo imetoka jana.
 
Wewe Kibaraka ebu katombeshe mbele uko kama unawashwa, soma post ya kwanza mpaka hii ujuwe nani mwenye matatizo Kenge wewe mkundupagaz..

inaonekana kijambio chako hujakisafisha ndio kamana kuna harufu kali hapa
 
acha kujifurahisha wewe kijana hizi story za vijeweni kwenye kahawa peleka huko mbali kiba kufika level za diamond. siyo leo .......

inabidi amwambie mama muuza hapo amuongezee konyagi mwitu ya jero hayo maneno cdhan km kayaandika akiwa timamu,anajaribu kufosi msalaba na jumlisha viwe sawa...IMEJIPOST
 
acha kujifurahisha wewe kijana hizi story za vijeweni kwenye kahawa peleka huko mbali kiba kufika level za diamond. siyo leo .......

Muuza Sura ni mmoja ya watu waliowekwa mbali na ufalme wa Wasafi, stress zitamaliziwa wapi kama sio jf. umarioo ndio mpango uliobaki game zote zishakataa.
 
Last edited by a moderator:
Morning good people!I wish u a nice day,Kila la Heri kwa Ally K,haters pia muwe na siku njema bila ninyi King atabweteka so keep on hatin...He keep on workin!!
 
Ally Kiba namheshimu sana, mnooo yaani.
Look at the situation....no promo or whatsoever of the like, but see jinsi mziki wake unavyojiuza wenyewe!!
Jinsi unavyopendwa!!!
Loh hakunaga kama Kiba!
 
acha kujifurahisha wewe kijana hizi story za vijeweni kwenye kahawa peleka huko mbali kiba kufika level za diamond. siyo leo .......

kiba is on his own level...nani kakuambia kiba anafanya music awe level moja na diamond?unajua cape town mpaka sasa kiba kakataa offer ngapi za show kisa hawajafika bei
 
kiba is on his own level...nani kakuambia kiba anafanya music awe level moja na diamond?unajua cape town mpaka sasa kiba kakataa offer ngapi za show kisa hawajafika bei

Beiiiii wanataka kumpa 500000 yeye anataka 800000 ndio level zake huyu
 
Huyo msimu wake ushapita bana hatuchezi tena cinderela wala kidela tupo kwenye msimu wa kutofautisha msalaba na jumlisha
 
kiba is on his own level...nani kakuambia kiba anafanya music awe level moja na diamond?unajua cape town mpaka sasa kiba kakataa offer ngapi za show kisa hawajafika bei

sasa show yenyewe ya kuwaimbia walala beach na mastole away anakomaa anataka laki8 akubali tu kuchukua hyo kilo5...tatizo nyota''!IMEJIPOST
 
Back
Top Bottom