Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mhuuu!!Jamani Diva Beyonce the man himself ndo amekuita basi fanya ujeee!!Ila mnatuzuga nyie,mmeshinda wote eti unakuja kumtafuta hapa!!Ha ha ha
 
"we mwana wewe mwana, mwana jeuri sanaaa ulichokifata hukupata twintwintwi ntwiii"
 
Naona umelewa maneno ya haters kwenye ule uzi sasa....taratiiibu unataka kuungana nao nadhani hilo hujalitambua
Ni mara ngapi Mdakuzi na MuuzaSura wamesema hapa kuhusu project za Kiba?
Keep calm and waiting mama

Kiba mbona amesharudi vizuri, na nakumbuka aliwahi kukiri alikuwa na tatizo la management, alisema alipokuwa likizo aliamua kuwa kama shabiki wa muziki na kutazama ni wapi alikuwa akikosea, nadhani ndio maana wimbo wake wa kwanza toka arejee umebamba.
Ova
 
Last edited by a moderator:
Haaa nifah wala...ujue dedication ina raha yakeee!hususan ujumbe ule wa wimbo husika mfano single boy,jamani atoto ukuburudishe sana!! Matola na Diva beyonce wamejificha sijui mtaa gani!!Le project..kuna siku Mdakuzi na wewe mlikua kimya kweli kweli!!siku ya kichambo ilee

Mambo ya Escrow yalifanya nikeshe, so kesho nikawa nauchapa usingizi kwa kulipizia ndo maana niliadimika hapa wapendwa.
Ova
 
Kiba mbona amesharudi vizuri, na nakumbuka aliwahi kukiri alikuwa na tatizo la management, alisema alipokuwa likizo aliamua kuwa kama shabiki wa muziki na kutazama ni wapi alikuwa akikosea, nadhani ndio maana wimbo wake wa kwanza toka arejee umebamba.
Ova


kawaida yake kubamba, hilo la management sasaaaaaaa yaani hapo ndio penyewe
 
Back
Top Bottom