Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Watu wakaliii hhhhhaaaa ndimu zimegoma kuota eee
bora tu hiyo video itoke watu wapate nafuu, watu wameishi na maumivu makali kwa muda mrefu sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wakaliii hhhhhaaaa ndimu zimegoma kuota eee
Mwenzangu nimepita huko kuna mpambano wa hatariiii
Kiba naye alivyo genius kaweka picha bila caption....basi watu wanauwanaje huko?
Mnaukumbuka wimbo wa 'njiwa'?
Hahahahaaa! Mamaaa umeibuka katika mida yako! Wala, hatukuamua tu kuweka wazi kila kitu, ni kama tuliona ni mapema kusema mambo mengi kwa kila mtu. nifah eo alikuwa na furaha sana akanambia anaomba akamilishe furaha yake kwa kuweka wazi.
Mnaukumbuka wimbo wa 'njiwa'?
Hahahahaaa! Mamaaa umeibuka katika mida yako! Wala, hatukuamua tu kuweka wazi kila kitu, ni kama tuliona ni mapema kusema mambo mengi kwa kila mtu. nifah eo alikuwa na furaha sana akanambia anaomba akamilishe furaha yake kwa kuweka wazi.
Ova
Inaonekana kuna baadhi humu mmeanza kuangalia bongo fleva miaka ya 2008, mnashangaza mnaposema anamuiga jamaa yenu utafikiri hamjaiona shooting ya Macmuga
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaas
Worry not mrembo wangu.
Ova
kalagabaho Franklin speaking wewe ndio shabiki wa kiba wa kweli, shabiki damuu, this is my first time nimemnotes shabiki wa kweli wa kiba toka nijiunge na jf, and no doupt wewe ni miongoni wa wale team kiba ya watu watano ambao mwenyewe alikiri kuwatambua.ushauri utasaidia nini na nyimbo nzuri zote keshaimba na kamaliza!..sasa anatumia nguvu tuu. ningekua karibu nae ningemwambia asihangaike kurekodi rekodi sasa upepo unavuma tandale na si dhani kama anaweza kuhit kiasi cha kumpita yule -----. kiba. a relax sasa hivi ajipange taratibu aki panick atajikuta anatoa nyimbo kumi halafu zote hazihiti, anaweza kuchanganyikiwa na kupotea kabisa. ajipange taratibu kipaji anacho asilazimishe kupaa kipindi hiki ambacho domo yuko juu atayumba sana.
You're toxicated, the fact is Kiba ndio wa kwanza kushoot video South Africa song Mac muga.
Have a good night honey love,nakudediketia where have you been wa Rihhana ukuburudishe the whole night,see ya tommorow