Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

na wamekazana kweli eti mara tuna roho mbaya mara ngumu heeee cha mtu mavi mtupishe hukoo, ndo tushamchagua Kiba tenaaa na tunampendaaa mnoooo lkn hatumchukii mondi, hahaaaaa mie penda hii
 
Jamani kwani Matola kumpenda atoto ni sawa na kusema matola anamchukia Ms.Lincoln??Au Mdakuzi kumpenda Ms.Lincoln ni sawa na kusema anamchukia nifah?Au Buku saba FC kumpenda Diva Beyonce ni sawa na kusema anamchukia Avemaria?(Confuse them!)
 
Jamani kwani Matola kumpenda atoto ni sawa na kusema matola anamchukia Ms.Lincoln??Au Mdakuzi kumpenda Ms.Lincoln ni sawa na kusema anamchukia nifah?Au Buku saba FC kumpenda Diva Beyonce ni sawa na kusema anamchukia Avemaria?(Confuse them!)

hahaaaa!! alafu kuna kitu nilitaka nikuulize ila nimeghairi
 
mtandao unanisumbua kweli toka jana usiku
wale vihedemswede wasio na haya,wasojua vibaya washukuru tu network inanieumbua airtel mbwaa kweli
 
Mkuu kunawalimu wangu walifundisha kusoma na kuandika lakin Leo hii mimi nina jiwe lakin wao.bado wana diploma mkuu ..so kufundishwa it doesn't mean kwamba utakuwa downstream kwa hule alikufundisha hivi mkuu huoni kuwa diamond anamafanikia kimuziki kuliko alikiba jamaaa mbona haya mambo yako wazi hayahitaji degree tatu za lemburazzz to identify it...
Tatizo lako hutulii kwenye hoja, unaruka ruka huku na kule. Kwa hiyo wewe unaamini kwamba waalimu wako sasa hivi wanashindana na wewe?
Bado hujajua mafanikio ya kimuziki ni nini? Ndilo tunalozungumza me & u kwenye post nyingine. So huwezi zungumzia mafanikio ya kimuziki bila kuyajua.
Kiba ana wimbo mmoja tu tangu arudi tena kwenye muziki, tena baada ya kutulia kwa miaka mitatu na nusu. Ukizungumzia past Kiba yuko vizuri zaidi ya wanabongo flava's wote.
Ova
 
yaani ninavyompenda kiba jamani hata iweje i'll b his fan, hata aimbe taarabu na sihitaji facts kwa hili maana mie nahitaji burudani hayo mengine hayanihusu
 
Nadhani hujaielewa hiyo sehemu, nakushauri uirudie tena kuisoma kwa utulivu kisha utoe tafakuri yako. Ungeelewa usingemtaja Bushoke ambaye hana wimbo ulio kwenye chart za stations.
Sijaona kwanini hukubaliani nami, ndio maana nasema hujaelewa ulichokisoma, nimesema moja ya mafanikio ni kujiendeleza kiuchumi kupitia muziki, sasa si ndio hayo mambo ya albums na mikataba iliyotokana na music jamani?
Tuzo sio kipimo cha mwanamuziki bora, ni pongezi. Tuzo sio kama matokeo ya darasani, ila ni kikundi cha watu wanaamua ni nani wa kumpa Tuzo fulani kulingana na vigezo vyao.
Kama hivyo Nassib kapata Tuzo ya mwanamuziki chipukizi, wakati sisi tunajua kama yeye sio chipukizi kama Mo music aliyeimba Basi Nenda.
Utampimaje Nassib kwa kupata Tuzo za video ya muziki ambayo yeye alikuwa akielekezwa tu cha kufanya na director wa video? CHOAMVA hawaangalii unaimba kiasi gani au unaandika kiasi gani.
Pale wameangalia ubora wa video kwa vigezo vyao ambavyo sisi hatuna nafasi ya kujua, sasa jiulize kwa tuzo zile tumpime kwa ubora Nassib au Ogopa DJ's ya Kenya waliotengeza video ya wimbo uliopata Tuzo zote tatu?
Ova[/QUOT
Kwa huu mtazamo wako basi kweli Ali kiba ni king "but let wait the nature will select "hii pia inakuhusu mkuu ..
" ""!do not think, you
have any right to
command me, merely
because you are older
than I, or because you
have seen more of the
world than I have;
your claim to
superiority depends
on the use you have
made of your time
and experience.""""!!
 
Eti wao kwa tafsiri yao ni kwamba kumpenda Kiba ni kumchukia Diamond, kwa lugha nyingine Mdakuzi kumpenda nifah ni sawa na kumchukia Diva Beyonce!! Watu wa ajabu sana hawa.

Yaani kama hawakuelewa kwa ufafanuzi huu basi hawataelewa tena hata wazikwe. Yaani jamaa wana akili ndogo hadi wanatusumbua kuwaelewesha.
Ova
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa hivi huyu Profesa wa kichina leo anaenda wapi ni saa nzima saa tumegandishwa mataa ya chang'ombe, Kawawa na Nyerere road, hii ni zaidi ya kero.
 
mtandao unanisumbua kweli toka jana usiku
wale vihedemswede wasio na haya,wasojua vibaya washukuru tu network inanieumbua airtel mbwaa kweli

Hahahaaa niliona ulivyopambana...pole sana mpenzi,mimi kuna siku tigo walizingua nikataka kuvunja simu!
 
Wapendwa hivi huyu Profesa wa kichina leo anaenda wapi ni saa nzima saa tumegandishwa mataa ya chang'ombe, Kawawa na Nyerere road, hii ni zaidi ya kero.

Poleee...
 
Back
Top Bottom