Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

nifah bwana nimetoa nimepigiwa simu na wamtwara bwana
leo bwana nangwandwa sijaona pale mtwara kwenye tamasha la tigo bas baba johhhhnnn adam mchomvu akamtambulisho baba ubaya bwana watu hatumtakiiiii tunamtaka kibaaaaaaaaaa
akasema duuuhhh hadi mtwara kuna upinzani ngoja nikarushe xxl
ni shhhhhiiiiidddddaaahhhhhh!!!@atoto@etal
 
Last edited by a moderator:
nifah bwana nimetoa nimepigiwa simu na wamtwara bwana
leo bwana nangwandwa sijaona pale mtwara kwenye tamasha la tigo bas baba johhhhnnn adam mchomvu akamtambulisho baba ubaya bwana watu hatumtakiiiii tunamtaka kibaaaaaaaaaa
akasema duuuhhh hadi mtwara kuna upinzani ngoja nikarushe xxl
ni shhhhhiiiiidddddaaahhhhhh!!!@atoto@etal

Duh kwani na baba ubaya alikuwepo kwenye hilo tamasha la tigo?

Btw, kiukweli Kiba anapendwa sana kazi kwake tu kujitendea haki
 
Last edited by a moderator:
Show ilikua ya Juzi Majamaa ya Barick Gold yalimfata king S.A na Jet yakamperka Shy town akafanya yake then Yakamrdsha

Aisee!Alafu wanasema eti king hafanyi show?Na akifanya kiingilio ni elfu 5!!
Watu wana wivu sana,ila Kiba naye kazidi upole.
 
nifah bwana nimetoa nimepigiwa simu na wamtwara bwana
leo bwana nangwandwa sijaona pale mtwara kwenye tamasha la tigo bas baba johhhhnnn adam mchomvu akamtambulisho baba ubaya bwana watu hatumtakiiiii tunamtaka kibaaaaaaaaaa
akasema duuuhhh hadi mtwara kuna upinzani ngoja nikarushe xxl
ni shhhhhiiiiidddddaaahhhhhh!!!@atoto@etal

Aiseeee,si wanasema Kiba mwisho dar jamani?
Kigoma nako yalikua haya haya....
 
Last edited by a moderator:
Duh kwani na baba ubaya alikuwepo kwenye hilo tamasha la tigo?

Btw, kiukweli Kiba anapendwa sana kazi kwake tu kujitendea haki

hakuepo walichombeza tuu
kiukweli nimegundua wastaarabu wote na wanaojielewa ndo wanaompenda kibaa
 
Jamani ankal nimekumiss sana,jana sijakuona kabisa kumbe ulikua unakula nyama choma?

Tamashani kulibamba kinoma, watoto wanameremeta kama mamtoni, na ningumu kujuwa yupi wa getikali yupi changu.
 
Tamashani kulibamba kinoma, watoto wanameremeta kama mamtoni, na ningumu kujuwa yupi wa getikali yupi changu.

Le Mutuz hawezi kosekana pande hizo zenye wabebez wakarez
 
Back
Top Bottom