Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nampenda sana Ali Saleh Kiba kutokana na mziki wake mzuri,sauti yake na hasa utunzi wake makini katika tungo zake mbalimbali mfano mzuri ni huu wimbo wake wa mwana unaotamba kwa sasa.
Video yake aliyoiachia jana ni nzuri sana,nimeipenda.
Ushauri wangu kwa Kiba,yeye ni msanii mkubwa sana,anatakiwa abadilike afanye mambo makubwa kama lilivyo jina lake.Asifanye mziki kwa mazoea kisa ana kipaji kikubwa.Aijue thamani yake sasa maana nakumbuka aliwahi kusema kua amekua surprised kwa mashabiki wake kumuulizia hadi walitaka kufanya maandamano japo alikaa kimya kwa zaidi ya miaka miwili!

Pia Kiba fans wenzangu huu ndio wakati wa kumsapoti Kiba,yeye kaonesha juhudi na sisi hatuna budi kumsapoti katika mziki wake ili naye apate mafanikio kulingana na kipaji chake kikubwa ambacho kiukweli hakiendani na mafanikio yake kimuziki.

Haswaa! Umeshusha maoni kama vile ulikuwa kichwani mwangu. Nice.
Ova
 
Napenda muziki,napenda bongoflava na dance,nabarikiwa na uimbaji,sauti,mtindo na mashairi ya Ally Kiba!To me he is the best male artist in Tanzania!YaniMdakuzi umejibu swali la ule uzi kifasaha kuliko nilivotarajia!!Ahsanteee
 
Mtoa mada try to help me understand,nimeona kwenye blog fulani ya Mange anasema USA video ya mwana haina imekuwa blocked kwa issue za copyright,hii imekaaje??
 
Jamani Malaw naye no mkali vp yuko wap binafsi namkubali sana sambamba na jembe la bongo flava Alikiba
 
Kama unampenda Nasib usimponde Ally. Kwan ni vitu viwili tofauti. Ally animba sebene na Nassib anaimba afro pop. Hata masoko yao kimziki pia ntofauti. Natusiwe na roho ya kihasidi jamani.....Kwann nasibu ale yy tu? Awaachie wenzie Hata makapi sio mbaya. Kenya yy,Tz yy,Uganda yy,South Africa yy,Rwanda yy,Ch.o yy,Mtv yy.....yan kla kitu yyyyyyyyyyyyyyyyyyyy.Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Hebu kumbuka fadhila za walio kutangulia bana.
 
Sielewi ni roho kwatuuuuu yaani kwa siku naangalia Mara 6 huu wimbo ni mauno madancer ni shegedeehh sipati picha kweli ujana giza na nuru
 
Sielewi ni roho kwatuuuuu yaani kwa siku naangalia Mara 6 huu wimbo ni mauno madancer ni shegedeehh sipati picha kweli ujana giza na nuru

Umenikumbusha ngoja niende na mimi maana leo nimeshaangalia mara 5 tu.
 
VIEWS 70K wimbo una Siku Tatu..... Diamond alikuwa na Views 122K ndani ya Masaa 22 tu...
 

Attachments

  • 1419099602391.jpg
    1419099602391.jpg
    59.2 KB · Views: 153
  • 1419099803427.jpg
    1419099803427.jpg
    28.9 KB · Views: 132
Hapa tunamwongelea Mfalme Kiba,mambo ya comparison sijui nani alipata view ngap ndani ya muda gani haihuuu!!Kiba katoa video kali sana,ina standard nzuri na quality matata!!Big up to him...
 
Mtoa mada try to help me understand,nimeona kwenye blog fulani ya Mange anasema USA video ya mwana haina imekuwa blocked kwa issue za copyright,hii imekaaje??

Mpaka sasa siamini hiyo kitu, ila nafuatilia. Lakini sidhani kama ingeendele kuachwa Youtube. Haijawa blocked video ya wimbo wa Njoo wa Shaa ameimba na Redsan wa Kenya ulioiga video This Time ya Melanie Fiona alioimba na J.Cole, ndio wa block Mwana haina matukio unaweza kusema ni ya kipekee, hadi kuwa ya mtu fulani.
shaa-n-melanie-2.jpgshaa-n-melanie.jpg
Ova
 
Back
Top Bottom