Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Noel njema kwa wale wahusika.. wengine msubiri heri ya mwaka mpya..... pop it in... in Kiba's voice..
 
Kyoma,

Nakubaliana na wewe moja kwa moja ikiwa mtaweza kutupa vigezo kama hivyo ulivyotaja hapo juu.

1. Walionunua vyeti kwa fedha -Hawa ni wabunge ambao hawakupata elimu kama vyeti vyao vinavyoonyesha...hawa ni akina nani?

Pia kama sheria hii ipo basi, tuwatafute madaktari, walimu, wataalm wote ambao inawezekana wamenunua vyeti hivi. Tukianza na wabunge, kisha hata wafanya biashara wote ambao wamefungua biashara zinazohitaji Utaalam. Huwezi kfungua hospital ikiwa wewe huna elimu ya Udaktari klwa sababu kuna safty mesures kibao ambazo unatakiwa kuzifahamu.

2. Kuna fungu lan hao waliosoma hizo shule za Mtandao ambazo hazitambuliiki nchini humo.

Kyoma hapa nina Utata mkubwa kwa sababu shule kama Pacific University na Washington International University hazitambuliki kwao Marekani kwa sababu ambazo wewe na mimi hatuzifahamu, lakini sio swala la kutokuwa na majengo ya shule. Kumbuka hizi ni shule zinzzotoa elimu kimataifa kwa njia ya Mtandao. Yawezekana kabisa Vyuo hivyo havukukamilisha masharti ya usajili wa shule za mtandao nchini humo.

Kuna shule nyingi za elimu kwa njia ya mtandao ambazo zimesajiliwa na hazina majengo - hizi zipo ktk list ya kutambulika lakini pia hazitambuliwi na baadhi ya vyuo vikuu nchini humo. Na kuna baadhi ya viongozi Mareakani wamesoma vyuo hivi kujiendeleza. Na kuna watu wengine wamesomeshwa majumbani mwao na walimu maalum kutokana na fedha zao bila kwenda shule na wamehitimu masomo yao. Je, hawa pia tuwatoe nje?

Commonwealth kinatambulika huko kiliposajiliwa lakini hii isiwe sababu ama kigezo kwetu kuitambua shule hiyo. Pia kwa sababu Washington University haitambuliki Marekani kama chuo haina maana hata sisi tusikubali cheti cha msomi huyo.

Kwanza tuwe na Utaratibu wetu kuhusu Elimu na viwango vyake. Tuwe na masharti ya Elimu hiyo kama ilivyo ktk UHASIBU. Kisha baada ya kuweka viwango ndipo tunaweza kutazama ni vyuo vipi vinavyo-tosheleza elimu tunayoitaka..

Kuhusu watoto nitarudi baadaye!

Wow,welcome back kiongozi.Jana kuna mtu kasema ulikua police station umekamatwa!JF hii watu wambea sana.
 
Back
Top Bottom