Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila ukiingia kwenye page yake ya instagram ameandika website ya afrima pitia pale uone
ila ukiingia kwenye page yake ya instagram ameandika website ya afrima pitia pale uone
relax my dear. ngoja niende then nitakujuza mda si mrefuKule naogopa nitakutana na picha za magufuli...
Nenda basi wew
relax my dear. ngoja niende then nitakujuza mda si mrefu
Kuvote kumeanza tena?
atleast haya mambo yatatufanya tusahau..
jaribu kufanya hivyo uone itakuwa au sio cute b
ngoja niingie cute bhttps://www.surveymonkey.com/r/?sm=19h99DtilvZwuwcMWI4cjVBFk/HuQm3NyL77Io2hHP0= ingia hapa The Name...
Vote Leo ndio mwisho
Kule naogopa nitakutana na picha za magufuli...
Nenda basi wew
Siasa kwani bado hazijaisha wandugu mkarudi kwenu
Bado nifah unamatumaini na lowasa maana makufuli kishaapishwa hamna namna sasaMakovu hayajaisha,haki ingetendeka ungeniona hapa zamani.
Hahahahahaa
Makovu hayajaisha,haki ingetendeka ungeniona hapa zamani.
Pole sana dear...ni ngumu kumeza.
Ila sahau tuu na maisha mengine yaendelee kama kawaida..mimi pia niliumia sana na kulia kama mtoto ila nikamkabidhi Mungu kila kitu now nipo huru na freee.
Kama ni kuisoma namba tutaisoma wote ccm na UKAWA.
Pole sana dear...ni ngumu kumeza.
Ila sahau tuu na maisha mengine yaendelee kama kawaida..mimi pia niliumia sana na kulia kama mtoto ila nikamkabidhi Mungu kila kitu now nipo huru na freee.
Kama ni kuisoma namba tutaisoma wote ccm na UKAWA.