Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mi wote nawasapoti kiba akitoa ngoma kali napongeza.

Diamond akitoa ngoma kali namsapoti..
Kiba akiharibu sisiti kusema kaharibu
Diamondi akiharibu sisiti kusema kaharibu.

Japo kuwa nime jikita zaidi kwa diamond ila nyimbo za alikiba kama aje na nyinginezo hazikosi kwenye album list yangu.


tuache timu hazijengi.
Mkuu wewe mpenda mziki mzuri safi sana
 
Humu vp

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Wimbo ni mkali mbalii, pamoja na WCB kumchangia lakini wapi hashikiki aisee. Sichoki kusikiliza

Ali nakuambia unajua #seduce#

Naona na WCB wametoa na yenyewe iko poa lakin naona seduce me ni balaa. Ali nyimbo zake hazichoshi kabisa na hatoi kila mara. WCB tunaomba muige hili, nyimbo zenu zinafanana mno mpaka zinakinaii.

Alikiba nimeshindwa kujizuia aisee
 
Baada ya kuchemka kule mitandaoni na kuchezea za uso kutoka kwa baba ake Ommy Dimpoz basi mbio mbio akakimbilia kuachia wimbo mpya.

Bahati mbaya pamoja kuungana kundi la watu 7 na haikusaidia kitu maana yeye na kundi lake wanachezea tena za uso.
 
Screenshot_20170826-003521.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom