Ali Kiba hatendewi haki, Watanzania tuache ukatili

Bora Kiba somehow anadeserve , kondeboy yupo stressed vibaya mno mpak mashabiki wameanza kumtukana huko Instagram sasa ....
Mwijaku analipwa laki mbili unafukiri mchezo tunapoelekea atamkopa mchizi daah maisha yanaenda mbio sana
 
We jamaa unafaa kua mwanachama wa CCM
 
Nonsense
 
king kiba ni tajiri ila tatizo utajiri wake hauonekani kwa macho ya kawaida, kwa kifupi alikiba ana kila kitu ila hivyo vitu havionekani sasa ndo tatizo, kinacho onekana ni mziki mzuri tu basi
 
Chawa wa domokaya msijitoe ufahamu, basha wenu huko anaangukia pua mbele ya burna boy, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
King Kama king hajawahi niangusha aisee tunapozungumzia Good music hapa ndo mahala pake...Ni vichaa tu ndo wanaweza shangilia matusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…