Ali Kiba jipange kwenye content hizi drama wakati redio aina wasikilizaji ni utoto

Ali Kiba jipange kwenye content hizi drama wakati redio aina wasikilizaji ni utoto

Yaani mtu ndio kwanza station ina miezi 2,unataja umfananishe na zenye miaka zaidi ya 5 kwa idadi ya wasikilizaji!!!!
 
Radio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza.

Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media. Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina content. Hao watangazaji wa kuiba kwa wengine ili mtengeneze story mjikane walimdodea Majizzo kina B 12, Jonijo, Masanja nk walitengeneza mbwembwe ila wapi waliishia.

Tafuta content hao rejects hawatasaidia lolote kama huna content. Unamwibia Kusaga Mwinjaku? Akikasirika alipe kisasi utabaki na radio kweli?
Ukiulizwa maana ya content sidhani hata unajua. Kukariri kubaya sana.
 
Hiyo media ni startup ya Kusaga. Jo Kusaga slowly anaachana na Clouds ambayo ni ya clan ya akina Kusaga. Biashara ya ndugu hataki.
 
Radio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza.

Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media. Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina content. Hao watangazaji wa kuiba kwa wengine ili mtengeneze story mjikane walimdodea Majizzo kina B 12, Jonijo, Masanja nk walitengeneza mbwembwe ila wapi waliishia.

Tafuta content hao rejects hawatasaidia lolote kama huna content. Unamwibia Kusaga Mwinjaku? Akikasirika alipe kisasi utabaki na radio kweli?

"wakati redio aina wasikilizaji", hii redio aina wasikilizaji inatengenezwa nchi gani?​

 
Radio yenyewe inaitwaje kuna moja nliisikia inaitwa USHUZI Fm usikute ndo ya huyu Kibakuli maana nasikia redio redio sijui ni RADIO CALL au Redio Mbao?
 
Hiyo media ni startup ya Kusaga. Jo Kusaga slowly anaachana na Clouds ambayo ni ya clan ya akina Kusaga. Biashara ya ndugu hataki.
Joh hawezi iba watangazaji toka media ya familia awapeleke vichochoroni. Huwezi ona mtamgazaji anatoka clouds anaenda Wasafi si bahati mbaya
 
Radio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza.

Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media. Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina content.

Hao watangazaji wa kuiba kwa wengine ili mtengeneze story mjikane walimdodea Majizzo kina B 12, Jonijo, Masanja nk walitengeneza mbwembwe ila wapi waliishia.

Tafuta content hao rejects hawatasaidia lolote kama huna content. Unamwibia Kusaga Mwinjaku? Akikasirika alipe kisasi utabaki na radio kweli?
Aisee! Mwinjaku nae ananunuliwa kwenda kupandisha hadhi ya redio?..
 
Mkuu naomba nikusahihishe. Siyo si Kiswahili sahihi. Ni sio. Ndiyo pia si sahihi ni ndio. Hayo alinisahihisha mtaalamu member Kiranga
Asante sana kwa ushauri mkuu. Mhh.. japo sina uhakika lakini sidhani. Nitafanya utafiti zaidi lakini mimi nadhani ni ndiyo na siyo. Kumeshawahi kuwa na mada hapa JF
 
Kwani unamsaidia kulipa kodi ya kurusha matangazo Mkuu?

Muache na drama zake na redio yake. Uwekezaji ni wake anajua anachokifanya.
Radio zote tatu wasafi,clouds na crown boss wake ni mmoja KUSAGA...... Mwijaku kutoka clouds kwenda crown.hana effect Kwa clouds
 
Asante sana kwa ushauri mkuu. Mhh.. japo sina uhakika lakini sidhani. Nitafanya utafiti zaidi lakini mimi nadhani ni ndiyo na siyo. Kumeshawahi kuwa na mada hapa JF
Naujua huo uzi. Walipotoshana wengi. Kiranga ni udisputed. Aliponisahihisha niliafikiana naye, na nikajiridhisha zaidi kutoka kwa mtaalam wa Kiswahili.
 
Redio ni ya Joe, hapo kafanya kuhamisha resource...
Najua unatafuta uhakika radio ni ya nani sasa nakwambia radio si ya joh kuna mzenj na kikeke kapiga helq zake za mafao. Joe hawezi ibomoa radio ya ukoo hata siku moja msidanganywe na wapiga ramli
 
Radio ya mwenzenu ndio Kwanza imeanzishwa tayari Kuna wachawi wamekimbia humu kuanza kuichamba.
 
Back
Top Bottom