Ali Kiba kataja sababu za kwanini hamfollow mtu Instagram

Hyo ni mistake ambayo kiba kafanya na awezi ikubali ni kuto Kufollow hata msanii mwenzake ths Y hawampi promo kiviile. Et ili a concentrate kwa fans wake did tht make sense? How? anareply comments za fans au ni kuwa karibu kivipi.
Umpe PROMO ALI KIBA?..University promo au?..hahahahaaaa hiyo ni style yake na si lazima umfollow
 
Tuseme nn?..ww ulowafolow watu na kiba ambae hajafollow mtu nan yupo known publically?..yani ukapime publicity ya Ali Kiba insta?..anajulikana since hakuna huo upuuz wa insta
Safi... Semeni wenyewe.
 
Kila mtu ana life style yake kaka USIFOSI MFANANO...kwani davido nan?..
 
Bt mnamfuatilia kila siku na kumlinganisha na huyo mnaemuona ana akili TIMU MOND MNAKWAMA WAPI MBONA ANAWAUMIZA SANA HUYU MTU?..SIJAWAH SIKIA MOND NA JUX WALA BEN POL KILA MKILALA MKIAMKA NI DOMO NA KIBA TUUUUUU....ANAWASHIKA PABAYA SANA HUYU MTU hahahahaha
 
So network ipo INSTA tu?
 
He KUMBE MNAJUA KAMA MSANII MKUBWA?..ahsante kwa taarifa
Sio lazima kwako ww lkn kwa msanii mkubwa kama kiba na kazi yake ya mziki ilibidi afollow baadhi ya watu kama wasanii wenzake kwa ajili ya mziki wake na kuwa updated na wenzake nn wanafanya.
 
Kawaida yangu instagram kama mtu haja mfollow hata ndugu yake uwa simfollow.
nimfollow wa nini sasa?
 
Kwa maoni yako anamshusha...nyie mnavyomponda kila siku ndo MNAMPANDISHA??..Kunguru
Huyo wa ndimu yeye ni Profesa wa Harvard University.

Achana na ya uprofesa maana unaonekana unaandika tu na kumshusha kiba.
 
326k JIPE MOYO.
 
Hawa roho si inawauma kwamba KING hajafollow mtu na akaunt imenona followers angefanya DOMO wangemsifu...KIBA ANAJUA KUWAUMIZA HAWA JAMAA SIJAWAHI ONA...
Mbona unatumia ngozi kufikiri...?

Hebu Pitia social media za Beyonce alafu uje utuambie kama alichokifanya huyu kijana ni kipya Duniani.

Ala!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…